Hatujambo karibuHamjambo wana Diplomasia
Niko poa kabisaZangu si mbaya,
Uhali Gani afande?
Baba wawili karibuNiko poa kabisa
AmenHabari MF wote?
Natanguliza shukrani kwa Mungu aliyetufanyia tuione siku mpya..... AMEN
Sana, mabadiliko sio jina tuKwakweli Mungu ni mwema mnooo upo poa lakini
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahah ndio akili zangu zinavyonituma
Mama JJNjema pole na majukumu
Za mtae [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Akili zangu sio za nchi hii
Lazima adekeNimemuona yaan babu ana maksudi mpaka nimwite jamani
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Babu tumeghairi hatubandiki tena utaoga tu ya baridi
Hatujambo mkuu habari ya weweHamjambo wana Diplomasia
Ila mabadiliko ni niniSana, mabadiliko sio jina tu
Mtaasisi vip
Sisi ndio tunatakiwa tumdekee babuLazima adeke
Wazima habari ya weweHumu wazima?
Za lushotoZa mtae [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Karibu Obe...hata mimi nilikumiss binamu mama JJ. Sema tu wewe na wengine mlipotea humu.
Nafurahi kuwaona na aunt yangu Shunie , mzeewakungoa , shululu (Newcastle wanawatakia wiki njema), Mndali ndanyelakakomu , omarion5 na anko wangu mwenyewe Lyon Lee
Asante dj Obe kwa music [emoji445] bora kabisaMuziki: Wiki Njema
Nilikuwa na weekend ya kipekee kidogo, mvua nyingi na hivyo nikashinda ndani ninafurahi na wote walio karibu yangu na hasa yule tunayekaribianaga sana faraghani. Msichezee mvua, zina mengi na zinakuhakikishia uwepo wa neema katika nchi. Ninakusalimia Kapuku na kukutakia week njema ambayo tayari umeshaianza.
Ni jambo zuri kuwaona wadau wote wakiwa wamekuja na kutoa HI jukwaani. Wengine tupo na tunafurahi wakati wote ukiwepo wewe unayenisoma muda huu.
Muziki sasa, anko wangu alikuwa busy kidogo na mambo ya uteuzi na japokuwa ahajaniambia uteuzi wake ulikuwa unahusu nini lakini kuna vitu vya kiasili ndo uteuzi wa anko wangu huwa unaangalia zaidi.