Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
AiseeeeVipi Shem
AiseeeeVipi Shem
Kina D hawajamboAiseeee
Wazima mnooo me shemeji yako kivipiii umekuwa shemale tenaKina D hawajambo
Niajeee manOzaaa
Kibongee yakeeeAbeeeh
Mzima weweAbeeee
We si mdogo wake mama NaveenWazima mnooo me shemeji yako kivipiii umekuwa shemale tena
HajamboMzima wewe
AbeehKibongee yakeee
Ebu acha mambo zako una nini lakini au mambo za kungfu leoWe si mdogo wake mama Naveen
HahahaEbu acha mambo zako una nini lakini au mambo za kungfu leo
Kweli vile shunie akee, seriously sikujazi ndugu yangu.Unanijaza bana maka
Poa, ni vipi ndugu yangu!?Niajeee man
Sawa maka akeeKweli vile shunie akee, seriously sikujazi ndugu yangu.
Wewe tu shunie akeeSawa maka akee
Muziki: Jtatu Kuelekea Pasaka
Nikutakie maandalizi mazuri ya Pasaka maana ndo tuumelianza juma la Pasaka na kwa maana hiyo salamu yangu kwangu na 'wishes' zote za kujiandaa vema ndo zinahusika hapa.
Nakusalimia Lyon Lee najua unapiganisha juu na chini uvuke mipaka utuachie mimbwa yetu ya pale ghorofa la wasakakodi. All the best.
Muziki sasa, natumaini ulikuwa na wikend njema.
Binamu Obe nakuona unanikwepa kwepa ila sawa mimi napambana na kazi yetu tumalize usajili wa kampuni yetu japo kwenye masharti naona wanasumbua tupunguze kidogo ila tutafanikiwa kwa hiyo waache wale wanaoweka vitu bondii sisi magar ,sijui hatutakii wanaume waache waweke bondi wanawake wao kwenye kampuni yetu
Binamu Obe nakuona unanikwepa kwepa ila sawa mimi napambana na kazi yetu tumalize usajili wa kampuni yetu japo kwenye masharti naona wanasumbua tupunguze kidogo ila tutafanikiwa kwa hiyo waache wale wanaoweka vitu bondii sisi magar ,sijui hatutakii wanaume waache waweke bondi wanawake wao kwenye kampuni yetu