Makapuku Forum

Makapuku Forum

Muziki: Sauti Isikike

...ninakusalimia mdau muhimu wa Makapuku Forum, na mara zote unajua kabisa uwepo wako hapa ni kitu kizuri si tu kwangu binafsi bali kama mwanajamii wa hapa uwepo wako unatufanya tuwe na furaha kwa raha na karaha.

Muziki sasa, sauti isikike, usiibanie na Pasaka ndo inakaribia

 
Niwatakie mandalizi ya ijumaa kuu pamoja na pasaka njema


Tutafakari njia zake


Natuenende kwa kufuata matendo ya tunae adhimisha siku yake leo

...asante sana mdau wa ukweli. Hivi ijumaa kuu ndo hatuli nyama eeeeh, ila kunywa inaruhusiwa? Nauliza tu ili nisije nikaingia majaribuni mapema kabla ya siku yenyewe
 
...asante sana mdau wa ukweli. Hivi ijumaa kuu ndo hatuli nyama eeeeh, ila kunywa inaruhusiwa? Nauliza tu ili nisije nikaingia majaribuni mapema kabla ya siku yenyewe
Mdau
haturuhusiwi kura nyama
Kula kama hukufunga unaruhusiwa kama ulifunga unaendelea na ratiba ya kufunga mpaka pasaka yenyewe

Kunywa unaruhusiwa ila sio vilevi
 
Mdau
haturuhusiwi kura nyama
Kula kama hukufunga unaruhusiwa kama ulifunga unaendelea na ratiba ya kufunga mpaka pasaka yenyewe

Kunywa unaruhusiwa ila sio vilevi


...duh, hapa anko wangu atapata asazi (ulcers)
image
 
Binamu Obe nakuona unanikwepa kwepa ila sawa mimi napambana na kazi yetu tumalize usajili wa kampuni yetu japo kwenye masharti naona wanasumbua tupunguze kidogo ila tutafanikiwa kwa hiyo waache wale wanaoweka vitu bondii sisi magar ,sijui hatutakii wanaume waache waweke bondi wanawake wao kwenye kampuni yetu
Teh teh teh...
 
Muziki: Ijumaa Kuu Bila Ukuukuu

....ninakuandikia Kapuku mheshimika nikijiaminisha kabisa umekuwa na wakati mzuri tangu Jumatatu ilipoanza na leo ni Ijumaa (TGIF). Ila ujue Ijumaa hii ya leo iko tofauti kidogo na ijumaa nyingine, hii inaitwa Ijumaa Kuu kwa sababu ndo Wakristo (wafuasi wa Kristo Yesu) wanakumbuka kufa, yaani mpaka muda huu, Yuda keshachukua mlungula (possibly akaenda kujirusha maana tayari ana vipande thelathini) na yule majeruhi Malchus aliyekatwa sikio na Simon Petro sasa hivi anaganga sikio lake. Psaka ina mengi na yote ni kutukumbusha kuoshwa kwa dhambi na kuanza upya.

Nimeongea na anko Lyon Lee leo kaamua kufunga, yaani katika siku 40 wengine tunakomaa kufunga yeye anafung siku ya mwisho eti kisa ni kwa kuwa anayecheka mwisho ndo anacheka sana. Akili za mjomba anazijua mwenyewe na mimi sina lolotela kufanya maana haya ni mambo ya ukoo.

Muziki sasa, nikutakie wakati mzuri leo na malalamiko ya Side muuza mishkaki karibu na kanisa ni ya kujitakia maana leo wateja wengi hawagusi vitu vya damu, wanatembea na damu, hawali nyama labda atengeneze mishkaki ya maharage na matembele. Ijumaa Kuu Njema

 
Obe binamu bhanaaaah sasa ulitaka nifunge zote kweliii we mwenyewe ulianza ukachemka kama mm leo nimejikuta nasahau kuwa nyama leo sio vizuri kula na mimi ndo maana niliamua supu nipewe mchuzii tu ....

Binamu nimeona nyayo zako lakin unajua leo nimepewa kitengo cha mapokezi ya bombadiaaaa yetuuu ...najua unajuaaa

Asante kwa mziki
 
Obe binamu bhanaaaah sasa ulitaka nifunge zote kweliii we mwenyewe ulianza ukachemka kama mm leo nimejikuta nasahau kuwa nyama leo sio vizuri kula na mimi ndo maana niliamua supu nipewe mchuzii tu ....

Binamu nimeona nyayo zako lakin unajua leo nimepewa kitengo cha mapokezi ya bombadiaaaa yetuuu ...najua unajuaaa

Asante kwa mziki


...ha hahhaqa, anko nakukubali sana, kufunga si jambo la mchezo, najua sana unachoweza kufunga siku hata miezi 40 ni simu tu tena kwa PIN na sensor ili anayejulikana asiwaone wasiojulikana.
 
Muziki: Ijumaa Kuu Bila Ukuukuu

....ninakuandikia Kapuku mheshimika nikijiaminisha kabisa umekuwa na wakati mzuri tangu Jumatatu ilipoanza na leo ni Ijumaa (TGIF). Ila ujue Ijumaa hii ya leo iko tofauti kidogo na ijumaa nyingine, hii inaitwa Ijumaa Kuu kwa sababu ndo Wakristo (wafuasi wa Kristo Yesu) wanakumbuka kufa, yaani mpaka muda huu, Yuda keshachukua mlungula (possibly akaenda kujirusha maana tayari ana vipande thelathini) na yule majeruhi Malchus aliyekatwa sikio na Simon Petro sasa hivi anaganga sikio lake. Psaka ina mengi na yote ni kutukumbusha kuoshwa kwa dhambi na kuanza upya.

Nimeongea na anko Lyon Lee leo kaamua kufunga, yaani katika siku 40 wengine tunakomaa kufunga yeye anafung siku ya mwisho eti kisa ni kwa kuwa anayecheka mwisho ndo anacheka sana. Akili za mjomba anazijua mwenyewe na mimi sina lolotela kufanya maana haya ni mambo ya ukoo.

Muziki sasa, nikutakie wakati mzuri leo na malalamiko ya Side muuza mishkaki karibu na kanisa ni ya kujitakia maana leo wateja wengi hawagusi vitu vya damu, wanatembea na damu, hawali nyama labda atengeneze mishkaki ya maharage na matembele. Ijumaa Kuu Njema


Jana niliomba kibao cha Yoriyori vipi mitambo haiko sawa mtaasisi?
 
Back
Top Bottom