makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,453
- 108,541
Umenikumbusha mbali mkuu... Yule mzee ni fala sana, circus ni vunja mbavuKabisa mkuu, unajionea ni sarakasi tu hizi kama movie ya Chaplin iitwayo Circus
Nyagei
Umenikumbusha mbali mkuu... Yule mzee ni fala sana, circus ni vunja mbavuKabisa mkuu, unajionea ni sarakasi tu hizi kama movie ya Chaplin iitwayo Circus
Nyagei
NIDA HQ IPO KILIMANI ROAD BAADA YA UBALOZI WA UFARANSA ILE NJIA YA KUELEKEA KINONDONI BAADA YA KILIMANI BAR MBELE KIDOGO NDIPO OFISI ZILIPO.Sawa nitashukuru ndugu Nyagei
BossWako Kinondoni
Nyuma ya Ubalozi wa Ufarasa.
Kwako tuNgumu mnoooooooooo
Kuna mawili either mwandishi kakengeuka au msemaji ndiye kakengeukaVinywa maji.
Napenda ile scene anaota motoUmenikumbusha mbali mkuu... Yule mzee ni fala sana, circus ni vunja mbavu
Mim au shunie akee?!?Itabidi tukupeleke dodoma
Nyagei
WeweMim au shunie akee?!?Mim au shunie akee?!?
Mambo baba ParokoBoss
Mambo kwa Yesu mtumishi, habari ya uzima baba Naveen,?Mambo baba Paroko
AahYou welcome mkuu.
Ukiweza kutumia Google map itakupeleka hadi point unayofika.
Mdogo wangu sio vzuri hivoSalute
Anhaaa! Iyo njia nsha isomaNIDA HQ IPO KILIMANI ROAD BAADA YA UBALOZI WA UFARANSA ILE NJIA YA KUELEKEA KINONDONI BAADA YA KILIMANI BAR MBELE KIDOGO NDIPO OFISI ZILIPO.
www.nida.go.tz
View attachment 722785
View attachment 722786
Wala haikuitaji kwenda shule mkuu..Aah
Nyie jamaa mambo gani ya Ramani hayo mi geography sku soma.
Nikifika maeneo ya ubolozini ntaangalia tu njia gan ina nishawishi kuwa ndio NiDA huko.
Thanks lakin
Salama sana kakaMambo kwa Yesu mtumishi, habari ya uzima baba Naveen,?
Nime ielewa ile njia, kuna siku niliebda kula kwenye cantin moja iko kule japo ilijuwa zamani sana.Wala haikuitaji kwenda shule mkuu..
Ni simple..! Ila nawaza tuu ushaona njia hapo kwenye ramani tayari..
Kazi kwako
Sawa mkuu.Nime ielewa ile njia, kuna siku niliebda kula kwenye cantin moja iko kule japo ilijuwa zamani sana.
HayaSawa mkuu.
Hujambo kijana?Haya
Usiku mwema wakubwa
Ntakuwa nakuja kuwasalimia mara moja moja
Hhmmm... Vunga bhana, mbona unataka kunivua msuli ukweni[emoji23] [emoji23]
Dogo yupi huyo!? Halaf mimi sikuli watoto mkuu, mie miguberi iliyoshindikana ndio nahangaika nayo