Makapuku Forum

Domo zegee huyooo alafu mbona huo uzii wa maandamano nilikuwepo ...au siku hizi kila mtu ana mod wake mfano wako hataki uende huko wasije kumnyanganya
Yaan hata sijui ila nilichoona hawataki niende siasani na me sasa hivi bila kuingia jukwaa la siasa naona bado sijaingia jf siku mbili nimefululiza kuingia siasani na ban juu
 
Mie hawanipi hizo ban zao, wakinipa safi tu nakula likizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…