Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,367
- 161,490
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji7]Hello Fams..
Time to go for a sleep!
Mr and mrs T wanawatakia usiku mwema. Mungu awalinde.
Muwe na wikiendi murua.
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji7]Hello Fams..
Time to go for a sleep!
Mr and mrs T wanawatakia usiku mwema. Mungu awalinde.
Muwe na wikiendi murua.
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji7]
Night shift activatedHello Fams..
Time to go for a sleep!
Mr and mrs T wanawatakia usiku mwema. Mungu awalinde.
Muwe na wikiendi murua.
Wakuu kwema ?? Hapa mmoja anajifahamu sio mkuu make sitak kesi naye kabisa
Marabaaa mjukuu wangu [emoji41] [emoji41] [emoji41]Shikamoooni makapuku wote[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji41]
Shikamoooni makapuku wote[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji41]
Asante kwa burudaniMuziki: Endeleza Mazuri
Nilikuwa na wakati mzuri kipindi chote cha weekend, nilipumzika na kupata ugeni wa rafiki. Ilikuwa ni nzuri sana, sijui wewe ulikuwa na weekend ya namna gani. Tumeanza juma jipya na kama unavyojulikana mwezi wa tatu huwa si mwezi wa mchezomchezo, kuna kwaresma ndani yake na Pasaka.
Nilichat na anko wangu, Lyon Lee tulitumia telegram anasema anafanya majaribio ya maandamano. Huyu anko wangu kama nyie huwa mnamuelewa sawa, hivi kweli mtu alikuwa ziarani Singida kuzindua kiwanda lakini bado anatumia telegram!!!! Si bora hata angetumia TMO au money order
Muziki sasa, burudika na rhumba hili uwe na wakati mzuri
MarhabaaShikamoooni makapuku wote[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji41]
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Marabaaa mjukuu wangu [emoji41] [emoji41] [emoji41]
[emoji120] [emoji120] [emoji120] hatujambo binamu hbr ya Ntwara...salamu yako nimeipokea kwamoyo mkunjufu.
Hujambo wewe na wote walio karibu yako?