Makapuku Forum

Makapuku Forum

ha hahahaha, ambaye haruhusiwi kuangalia ni BH tu, weka tena ukae siti ya mbele kabisa, hainaga ushemeji, kamatia chini
Patamu hapo kwenye kamatiiii chiniiiii....unazikumbuka adhabu za mwl wa discipline mambo ya kamata kucha za miguu ukiinama nafuta
 
Usinichanganyizie habariiii...binamu wewe si ndo wa kwanza kuniambia mambo ya ubuyu kuwa nshapigwa kapuni niko skiiiireeepaaa ukaongezaaa na safar

...ila zile safari zilikuwa na ubaridi unaokubalika na hali ya hewa ya joto, ulipopiga zako tatu nikaona unaongea na Aisha manyonga baadaye mkachomoka
 
...ila zile safari zilikuwa na ubaridi unaokubalika na hali ya hewa ya joto, ulipopiga zako tatu nikaona unaongea na Aisha manyonga baadaye mkachomoka
Binamu punguza bangiii bhana kwani uliona mimi nilikaa nae mda mrefu ...ilikua chapu chapu sasa ukiongea hivo unataka kesho ubuyu uagizwe au ??

Mda mwingine kuwa na akili kama zangu bhasiii
 
Wacha nikupendeeeeew we mwanamkeee kibonge yanguuu
diOgEu.gif
 
Usinichanganyizie habariiii...binamu wewe si ndo wa kwanza kuniambia mambo ya ubuyu kuwa nshapigwa kapuni niko skiiiireeepaaa ukaongezaaa na safar
...ila zile safari zilikuwa na ubaridi unaokubalika na hali ya hewa ya joto, ulipopiga zako tatu nikaona unaongea na Aisha manyonga baadaye mkachomoka
Binamu punguza bangiii bhana kwani uliona mimi nilikaa nae mda mrefu ...ilikua chapu chapu sasa ukiongea hivo unataka kesho ubuyu uagizwe au ??

Mda mwingine kuwa na akili kama zangu bhasiii
Mbavu zangu mie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Muziki: Ubuyu Wa Rangi ya Lipstick

...nimeona nikutaarifu tu mapema ili usije ukasahau na ukadhani mimi nitasahau kukusalimia Kapuku wewe unayelianya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri ya kuwepo. Asante sana mjomba Lyon Lee kwa UF, nikushukuru BlessedHope kwa sala na salamu za upendo kwetu kila wakati unapopata nafasi ya kutushirikisha furaha yako, tunakupenda sana.

Mjomba wangu kakasirika sana wiki hii kisa kalenda kwanini imekomea tarehe 28 tu wakati alikuwa na booking ya tarehe 29/2/2018 na tayari alikuwa keshalipia nauli ya mgeni kuja kumbe kaingizwa jau na aunt yangu alikuwa hana taarifa maana taarifa ataitoa wapi wakati muda wote analamba ubuyu tu wenye rangi rangi iliyofikia hatua ya kutohitaji lipsticktena. Rangi ya ubuyu imekuwa ni mbadala wa lipstick. Hongera ubuyu wa Zanzibar
Muziki sana, kesho ni furahiday kama ulikuwa hujui, tambua sasa na jipange maana kama utaamua kwenda out hata kama umekaribishwa hakikisha una hela mfukoni

 
Weraaaaaaaa ...binamuuu njooo ujioneee na ubaridiii huuu napewaaa mabusuuu moto motooo


...anko sasa umelewa mapema, hapo sijaona mabusu nimeona makopakopa, au mambusu unapigwa machoni, si atakupofusha usione akipanda boti za Azamu cola
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Back
Top Bottom