BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Asante Obe huwa unanifikirishaaaTafasiri Unavyoweza: Swali na Masahihisho
Usije ukadhani kuwa kila swali lina hitaji majibu, usitegemee utakutana na hali ya jana kila siku maana jana na leo ni siku mbili tofauti na kwa kuwa ni mbili basi sahau kuona moja jumlisha moja u=inakuwa tatu na si mbili. Kwa kwa kuwa moja na na moja ni mbili na wala si tatu kwa kujumlisha basi hoja yangu ya kutafasiri inasema kuwa si kila swali linahitaji majibu, maswali mengine yanahitaji marekebisho na si majibu.
Unaweza kujiuliza kwanini pamoja na kuwepo kwa rasilimali chekwa kwenye taifa letu bado umaskini uliokithiri unatamalaki na kumea kama uaridi kwenye samadi. Hapa kujiuliza swali ukitegemea majibu ni kujidanganya na kujilisha upepo tu, swali unalojiuliza ni lazima ulirekebishe kwanza, lifanyie masahihisho ndo liwe swali vinginevyo linabaki kuwa ni maneno yenye kiulizo badala ya nukta.
Unajiuliza haki yangu iko wapi, unapoteza muda, haki huletewi kwenye sahani. Fuatilian na ndipo utagundua kuwa unapaswa kutafasiri unavyoweza kila ninachoandika na kila unachosoma maana asubuhi ninatafasiri vingine na mchana nikishiba tafasiri ya asubuhi inabadilika. Tumewaona wanaotaka tuwaombee ilihali hawataki kuwauliza tuwaombee juu ya nini na hapa ndo majibu kabla ya swali. Tafasiri unavyoweza
Nawapenda sanasana...mabinti zangu nawaombea sanaa amani itawale my daughterTunampenda sana mama mchuchu Mungu azidi kutuwekea jamani
Cc BH
Thanks so much lovely daughter God Bless uWe love u too[emoji7] [emoji7]
Wewe tunakujua mambo ya kuharibianaNaomba na mm niwepo
MamaUwiii Obe...Asante...Asante kwa Upendo..unaniongezea imani kubwa kuwa hapa MUNGU YUPO.NI MARA CHACHE SANA KUPATA WATU WANAOJALI NA KUTHAMINI WENGINE..NISEME UKWELI MAHALI HAPA PAMEKUA FARAJA YA PEKEE MARA ZOTE NAHITAJI KUWA NANYI NA KUSEMA NANYI JAPO NENO MOJA TU LA UPENDO..SIJAWAHI ZUNGUKWA NA UPENDO WA AINA HII WA KILA MTU KUNIJALI,KUFUATILIA,KUFAHAMU NINAVYOJISIKIA NA KUBWA KUNITAMKIA WAZI KUWA NAPENDWA..ASANTE OBE MUNGU AKUZIDISHIE KATIKA KILA HITAJI LAKO,AONGEZE UPENDO ATUSAIDIE TUONGEZE MSHIKAMANO NA UKARIMU...NAKUPENDA OBE...NAWAPENDA MAKAPUKU WOTE MBARIKIWE SANA
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253] nimemkumbuka mukongo mm jaman angekuwepo kutoa mauwa binamu Mungu anakuona kwa kunipotezea mukongo wa mamaAmen Amen my Love asante kunitakia amani na birthday njema namshukuru Mungu kunifikisha umbali huu.
Hivi ukila ukoko unasahau sahau eenh...anko, hivi kwanini mimi ninakuwaga wa mwisho kujua? Au kwa sababu napenda kula ukoko so hata kama ninajua ninakuwa nasahausahau!!
Halafu hii ya mazawadi ungeweka siri iwe sapurayisi hadi tupate magift pepas. Wewe unataka tuweka zawadi nzuri kwenye sandalusi
Nilipotea muda sana sasa nikaona nipitie kwa uchache tu kati ya mengi, au unataka niendelee? Nina 5 jukwaa's sasa sijui ni lipi kati ya hayo [emoji144] [emoji125] [emoji125] [emoji125] mambo ya Shunie hayo Nimesamehe baada ya kuandika Pole sana boss
Nakumbuka bandiko moja la shunie...
Hatareee sanaa !
Sijaliona ni lipi hilo boss?
Nililiona kwenye lile jukwaa kabla sujaleft mkuu..
Shunie mm jaman ndio nini kwani mnazungumziaTeh Teh Teh, itabidi nikafanye utalii
Asante kwa kumjaza mama naona umempatia hapo na mkongo anamsahau mazimaHappy Belated Birthday Wishes BlessedHope
Inawezekana heko yangu kwako juu ya tarehe yako ya kuzaliwa imekuja kwa kuchelewa hasa ukiangalia masaa yamepita tangu tarehe ya jana na leo ni siku nyingine tena.
Nakukumbusha tu kuwa Jukwaa hili, yes, Makapuku Forum ni sehemu nzuri sana kwa sababu wewe ni sehemu muhimu ya Jukwaa hili.
Nina mengi ya kuandika juu yako ukurasa huu usitoshe, itoshe tu kusema Heko ya kukumbuka kuzaliwa kwako BH
(nakupenda sana) na Makapuku wanakupenda pia
Vibonge ni mmuLa vibonge ??
Kamatia mpaka chiniHakuna namna mke mweee acha nikamatie tu mm
AmeeenTunampenda sana mama mchuchu Mungu azidi kutuwekea jamani
Cc BH
Tunakupenda pia mama yetu [emoji8]Uwiii Obe...Asante...Asante kwa Upendo..unaniongezea imani kubwa kuwa hapa MUNGU YUPO.NI MARA CHACHE SANA KUPATA WATU WANAOJALI NA KUTHAMINI WENGINE..NISEME UKWELI MAHALI HAPA PAMEKUA FARAJA YA PEKEE MARA ZOTE NAHITAJI KUWA NANYI NA KUSEMA NANYI JAPO NENO MOJA TU LA UPENDO..SIJAWAHI ZUNGUKWA NA UPENDO WA AINA HII WA KILA MTU KUNIJALI,KUFUATILIA,KUFAHAMU NINAVYOJISIKIA NA KUBWA KUNITAMKIA WAZI KUWA NAPENDWA..ASANTE OBE MUNGU AKUZIDISHIE KATIKA KILA HITAJI LAKO,AONGEZE UPENDO ATUSAIDIE TUONGEZE MSHIKAMANO NA UKARIMU...NAKUPENDA OBE...NAWAPENDA MAKAPUKU WOTE MBARIKIWE SANA
Hivi ukila ukoko unasahau sahau eenh
He he