Makapuku Forum

Asante Obe huwa unanifikirishaaa
 
Mama

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Amen Amen my Love asante kunitakia amani na birthday njema namshukuru Mungu kunifikisha umbali huu.
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji258][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253] nimemkumbuka mukongo mm jaman angekuwepo kutoa mauwa binamu Mungu anakuona kwa kunipotezea mukongo wa mama
 
Hivi ukila ukoko unasahau sahau eenh
 
Nilipotea muda sana sasa nikaona nipitie kwa uchache tu kati ya mengi, au unataka niendelee? Nina 5 jukwaa's sasa sijui ni lipi kati ya hayo [emoji144] [emoji125] [emoji125] [emoji125] mambo ya Shunie hayo Nimesamehe baada ya kuandika Pole sana boss
Nakumbuka bandiko moja la shunie...

Hatareee sanaa !
Sijaliona ni lipi hilo boss?
Nililiona kwenye lile jukwaa kabla sujaleft mkuu..
Teh Teh Teh, itabidi nikafanye utalii
Shunie mm jaman ndio nini kwani mnazungumzia
 
Asante kwa kumjaza mama naona umempatia hapo na mkongo anamsahau mazima
 
Tunakupenda pia mama yetu [emoji8]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…