Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Unaserereka sekenke au kitonga?
Unabishaa??.....duh, hata wewe ni wa kunifanyia fitna.
Kweli adui ndugu
Unabishaa??
Aise, naamini hawajarest in peaceGhafla tu wote wapo offline, sina taarifa zao labda Husna Muba atakuwa anajua
Mganga wetu yule kiboko...alimpoteza mkongo mazimaSibishi anko, wewe ni mfano halisi
Mganga wetu yule kiboko...alimpoteza mkongo mazima
Sina nawaonaga kule jukwaa la chini jaman au kila anajiongelea mambo zakeNiko poa kabisa, wapi my mbebez Linamo simuoni humu?
...ha ahahahha, mtaasisi mwenzangu alinifanyiaga fitna wakati naumwa eti aje na mama mchuchu ilhali Mimi nilipenda mama mchuchu asisindikizwe




ila mtaasisi mwenzako yule ni mama akee alikuwa anaangalia usalama wa mama ake atakulwa au unaenda msalimia tu
Binamu nilikosea tu kureplay mbona hivoo..ha ahahaha, ila ulitaka kukosea sana ulipommimba mjukuu wake.
...ha ahahahha, mtaasisi mwenzangu alinifanyiaga fitna wakati naumwa eti aje na mama mchuchu ilhali Mimi nilipenda mama mchuchu asisindikizwe
Huo anaujua Lee empire pekee.....kwa sadalah, unaujua huu mteremko!?
Kurest bado sana Jehova hana mpango nao kwa sasaAise, naamini hawajarest in peace
Kule no story ni kazi kazi tuSina nawaonaga kule jukwaa la chini jaman au kila anajiongelea mambo zake
Mwambie mwambieila mtaasisi mwenzako yule ni mama akee alikuwa anaangalia usalama wa mama ake atakulwa au unaenda msalimia tu
Ni Nyagei sio nyegeiWerrason huenda amebadili ID nimejaribu ku search hilo jina halipo tena isipokuwa lilipotajwa.
@nyegei