Makapuku Forum

hao watu wapo na wanejenga na wana maisha mazuri kwa kubet
 
hao watu wapo na wanejenga na wana maisha mazuri kwa kubet

He was a milionaire aisee!
Nakumbuka aliwatapeli sana Wahindi kipindi kile cha Kusakwa wahujumu Uchumi.
Wahindi walikuwa wanakuja kuficha vitu vyao kwenye Go-down lake na kufukia kwenye shamba lake.
Jamaa alikuja kuwaruka wale Wahindi, Mwinyi anakuwa Raisi jamaa ashakuwa tajiri mkubwa sana.
 
respect kwakee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…