Makapuku Forum

Nafurahi kusikia umeamka poa.
Upande wangu niko poa kabisa, likizo imeisha sasa najiandaa na kuingia kwenye ujenzi wa taifa tu. Asante kwa kunijulia hali.

Vipi wikend ilikuwaje kwa upande wako?
Weekend ilienda poa kwani Mbeya jana kulikua na ki mvua mpaka mida ya jioni, ilikua ni fursa ya kushinda nyumbani wakati najiandaa kwenda kupigika kulijenga taifa
 
...asante kwa kutukumbusha kuhusu Jpili ya kwanza 2018. Na zaidi asante kwa ku(ni)tuweka katika maombi na sala zako za kila wakati. Amen
Ubarikiwe Obe ,tumuombe Mungu atusaidie tuwe na bidii ya kumtafuta

Ufalme wa Mungu utatekwa na wenye nguvu Mathayo 11:12b

Tumshukuru Mungu hata kutuweka mahali hapa pamoja ili kuunganisha nguvu

MATHAYO 18:20

Kwa maana popote pale wanapokusanyika wawili au watatu kwa jina langu ,mimi nipo hapo kati yao...

Ubarikiwe
 
barikiwa pia mom
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…