Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
....ukijakuufuata utakuwa ushachacha kabisa au ndo mambo ya harua haina ....





mfyuuu
....ukijakuufuata utakuwa ushachacha kabisa au ndo mambo ya harua haina ....





mfyuuuKwakuwa umesema wewe mimi sipingi.. we hata ukisema mchanga mtamu shunie ake mie nalamba
Ata sijui kama nawezaEbu niambie we unaweza kubeba hivyo usirudie mara ya pili
EwaaaaaaaNa kila ntu abaki na maana yake njomba.. si maana ya ntu aseme ntu..
Si kidonge kinayeyukaa![]()
![]()
Kama ipo ya unga, itapendeza zaidi.
Niko poa sana sijui weweAta sijui kama naweza
Uko poa lakin shunie??
Niko poaNiko poa sana sijui wewe
Hajambo huyo!?Nko poa ankoo
Nashukuru..Ahhhahahhaha nalifahamu hilo
Tusipeane tabu.Kila mtu abaki na maana yake na kilugha cha kwao
Ahahha hajambo nani sasa kama mkewe si umtaje jina mkewe jina hivi mkewe yuko apiHajambo huyo!?
Ukiona mtu mbishi saana ujue lina mgusa hilo shunie akeeWooooooozaaaaaa maka akeewanaume wa dar watabisha
Ahahhh akili zako unazijua mwenyewe
Nasaka mwingine huyu sijui kapotelea wapiAhahha hajambo nani sasa kama mkewe si umtaje jina mkewe jina hivi mkewe yuko api
Kabisa wala tusichoshaneTusipeane tabu.
Nani sasa mkuuHajambo huyo!?