Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
HahaaaaaaMbona haiji kama ya babe wake naniliu![]()
Hahaaaaaa
Kivipi my dear



mana sina ninachokosea nashangaa @inaonekana na inatakiwa ionekane cc tu kama babe wake naniliuHahahaaaaamana sina ninachokosea nashangaa @inaonekana na inatakiwa ionekane cc tu kama babe wake naniliu
Mmh kwahiyo kaandika bila @ sasa mtu anapataje notification kuwa anaitwa jamanHahahaaaaa
Yule kaandika kabisaa
Cc: Shunie
Sidhani kama anapata, si angekuwa anaitwa saaana jamani.....Mmh kwahiyo kaandika bila @ sasa mtu anapataje notification kuwa anaitwa jaman
Duuh! Kuna mambo mabaya . Nishatoka lakiniKimekupeleka nini huko, uje uniambie nini kiko huko
Mama la mama
Sidhani kama anapata, si angekuwa anaitwa saaana jamani.....
Ile ni signature tuu, kama Nyagei alivyojiandika ujue





Na itakuwa kweliKisamvu
Kule hakunaga kutokaaaDuuh! Kuna mambo mabaya . Nishatoka lakini
Mkuu kwema ?Shunie..
Unacheka jamanii![]()
Mimi apa kumbe upo nilijua umehama jukwaa Transcend anakuuliziaMama la mama
Hujaniambia lakiniDuuh! Kuna mambo mabaya . Nishatoka lakini
Kasema kisamvu cha muhezaNajua basi
Sanaaa ndio nilivyo T nizoee nikinuna labda mtu anivurugeShunie..
Unacheka jamanii![]()
Ndiwooo wacha nizigawe tuTumosa nakuona unagawa like tuu...
Niame niende wapii labda anko anifukuzeMimi apa kumbe upo nilijua umehama jukwaa Transcend anakuulizia