Makapuku Forum

Kwa wewe ntauza mpaka kibanda changu cha urithi, ili mradi usikose..

Kifupi umepata, labda useme jingine km wataka kunitoa roho kabisa, maana pound tu nauza kibanda cha urithi..[emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu ufanye uuze uniletee pound mie
 
Ahahahh kama nakuona huko ulipo kule watu ni washenzi unaweza ukajitokeza tu kucomment lijitu linapotokea huko linaanza sasa mtu usisifie kama pic nzuri au video utasikia shunie njo kwangu kama hiyo mfyuuu
Wanaume sie utatuweza.. tumezidisha ukware. Tunaendekeza kicha cha chini kuliko cha juu chenye akili timamu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu ufanye uuze uniletee pound mie
Nauza mamii, kama ikishindikana kupata mteja, ntakupa kabisa uuze wewe, ujigawie kabisa unachotaka kitakachobaki utanipa kama kiporo[emoji23] [emoji23]
 
Na kweli nyie viumbe naviheshimu sana
Lakini ujue mie simo, nimestarabika siku hizi, nimekuwa timamu, nakifata kichwa cha juu chenye akili zake, naanzaje kufata kichwa kina kipara, toka kuumbwa kwake hakioti hata nywele kazi kucheua tuu[emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…