Makapuku Forum

Hahahaha...na shkamoo unazopokea kila leo. Nikajua wewe ni mkongwe kumbe bado una muda wa kutosha kula mema ya nnchi...teh teh teh


.....waangalie wote wanaonipaga shikamoo, wananifanyiaga kauzibe ile safari yangu ya Kigamboni. Hiyo salamu yao huwa ni zuga tu lakini wanajijua kwa kuniwekea mtimanyongo kwenye mambo yangu muhimu kule kigamboni? Unapajua kigamboni?
 
.....waangalie wote wanaonipaga shikamoo, wananifanyiaga kauzibe ile safari yangu ya Kigamboni. Hiyo salamu yao huwa ni zuga tu lakini wanajijua kwa kuniwekea mtimanyongo kwenye mambo yangu muhimu kule kigamboni? Unapajua kigamboni?
Hahahah
Napafahamu sana, shangazi yangu anaishi maeneo ya cornerstone

Kwanini wakufanyie hivyo Mr Obe?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…