Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Uko poa ?Mornie
Uko poa ?Mornie
Niko poaUko poa ?
UbarikiweeeNiko poa
Amen, Asante mama mchungaji kwa neno la uzima Ubarikiwe sanaZaburi 148
7 .Msifuni BWANA kutoka nchi, Enyi nyangumi na vilindi vyote.
8. Moto na mvua ya mawe, theluji na mvuke, Upepo wa dhoruba ulitendao neno lake.
9 .Milima na vilima vyote, Miti yenye matunda na mierezi yote.
10 .Hayawani, na wanyama wafugwao, Vitambaavyo, na ndege wenye mbawa.
11. Wafalme wa dunia, na watu wote, Wakuu, na makadhi wote wa dunia.
12 .Vijana waume, na wanawali, Wazee, na watoto;
13 .Na walisifu jina la BWANA, Maana jina lake peke yake limetukuka; Adhama yake i juu ya nchi na mbingu.
14. Naye amewainulia watu wake pembe, Sifa za watauwa wake wote; Wana wa Israeli, watu walio karibu naye. Haleluya.
Asante Mtumishi Mwema wa BwanaZaburi 148
7 .Msifuni BWANA kutoka nchi, Enyi nyangumi na vilindi vyote.
8. Moto na mvua ya mawe, theluji na mvuke, Upepo wa dhoruba ulitendao neno lake.
9 .Milima na vilima vyote, Miti yenye matunda na mierezi yote.
10 .Hayawani, na wanyama wafugwao, Vitambaavyo, na ndege wenye mbawa.
11. Wafalme wa dunia, na watu wote, Wakuu, na makadhi wote wa dunia.
12 .Vijana waume, na wanawali, Wazee, na watoto;
13 .Na walisifu jina la BWANA, Maana jina lake peke yake limetukuka; Adhama yake i juu ya nchi na mbingu.
14. Naye amewainulia watu wake pembe, Sifa za watauwa wake wote; Wana wa Israeli, watu walio karibu naye. Haleluya.









UbarikiweAsante Mtumishi Mwema wa Bwana
![]()
UbarikiweAmen, Asante mama mchungaji kwa neno la uzima Ubarikiwe sana
Nawe pia barikiwaUbarikiweee
Nawe pia barikiwa
Long time no see, hope mko poa kabisaUbarikiwe
Niko poaLong time no see, hope mko poa kabisa
Miss you too my sister, kwema lakiniNiko poa
You're missed brother!!!
Kwema kabisa, vipi wewe hali yakoMiss you too my sister, kwema lakini
Hali yangu nzuri, naona kunaendelea vyema humuKwema kabisa, vipi wewe hali yako
Mungu ni mwema, tuko salama my dearHali yangu nzuri, naona kunaendelea vyema humu
Duuh, sijui kapotelea wapi aiseeSijamuona siku nyingi kweeeli
Mungu amtunze huko aliko tu,mengine ni ya ziada saana!!!Duuh, sijui kapotelea wapi aisee