Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Nov 19, 2017 #298,621 Shadrack K. Lwila said: Kiasi lee Wewe ni lee jr? Click to expand... Sijui mkuu
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,002 Nov 19, 2017 #298,622 Shadrack K. Lwila said: Mmmh! sawa lakini mimi bado nampenda 'ujue' Click to expand... Ndio mana kuna siku ulikua unamwomba lee aniruhusu nije pm kwako una shida na mm baba d akakwambia hiyo shida mwambie yeye atanifikishia
Shadrack K. Lwila said: Mmmh! sawa lakini mimi bado nampenda 'ujue' Click to expand... Ndio mana kuna siku ulikua unamwomba lee aniruhusu nije pm kwako una shida na mm baba d akakwambia hiyo shida mwambie yeye atanifikishia
Shadrack K. Lwila JF-Expert Member Joined Jul 17, 2016 Posts 4,925 Reaction score 14,297 Nov 19, 2017 #298,623 Kama ni za kujidhamini hizo sina aisee Shunie said: Za kujidhamini kwa kutamani mke wa mtu Click to expand...
Kama ni za kujidhamini hizo sina aisee Shunie said: Za kujidhamini kwa kutamani mke wa mtu Click to expand...
Shadrack K. Lwila JF-Expert Member Joined Jul 17, 2016 Posts 4,925 Reaction score 14,297 Nov 19, 2017 #298,624 Nime-note wewe ni lee og Am i right? Lyon Lee said: Sijui mkuu Click to expand...
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Nov 19, 2017 #298,625 Shadrack K. Lwila said: Nime-note wewe ni lee og Am i right? Click to expand... Yap
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Nov 19, 2017 #298,626 Shunie said: Ndio mana kuna siku ulikua unamwomba lee aniruhusu nije pm kwako una shida na mm baba d akakwambia hiyo shida mwambie yeye atanifikishia Click to expand...
Shunie said: Ndio mana kuna siku ulikua unamwomba lee aniruhusu nije pm kwako una shida na mm baba d akakwambia hiyo shida mwambie yeye atanifikishia Click to expand...
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Nov 19, 2017 #298,627 Shadrack K. Lwila said: We jamaa niaje Click to expand... Poa kabisa afande shedede za kwako
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Nov 19, 2017 #298,628 Shunie said: Salama shemela wangu shikamoo Click to expand... Marahabaaa shemela wangu, D hajambo
Shadrack K. Lwila JF-Expert Member Joined Jul 17, 2016 Posts 4,925 Reaction score 14,297 Nov 19, 2017 #298,629 Shunie said: Ndio mana kuna siku ulikua unamwomba lee aniruhusu nije pm kwako una shida na mm baba d akakwambia hiyo shida mwambie yeye atanifikishia Click to expand... 'Ujue' nilikuwa na shida na wewe sema mmeo akanikandia Ila 'ujue' kivyovyote vile nina-mpenda sana ... 'Ujue' would you be my lover?
Shunie said: Ndio mana kuna siku ulikua unamwomba lee aniruhusu nije pm kwako una shida na mm baba d akakwambia hiyo shida mwambie yeye atanifikishia Click to expand... 'Ujue' nilikuwa na shida na wewe sema mmeo akanikandia Ila 'ujue' kivyovyote vile nina-mpenda sana ... 'Ujue' would you be my lover?
Shadrack K. Lwila JF-Expert Member Joined Jul 17, 2016 Posts 4,925 Reaction score 14,297 Nov 19, 2017 #298,630 Okee sawa boss wa kitambo Lyon Lee said: Yap Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,002 Nov 19, 2017 #298,631 Shadrack K. Lwila said: Nime-note wewe ni lee og Am i right? Click to expand... Huyo anakujibu kutokana na ww unavyotaka sio lee
Shadrack K. Lwila said: Nime-note wewe ni lee og Am i right? Click to expand... Huyo anakujibu kutokana na ww unavyotaka sio lee
Shadrack K. Lwila JF-Expert Member Joined Jul 17, 2016 Posts 4,925 Reaction score 14,297 Nov 19, 2017 #298,632 shululu said: Poa kabisa afande shedede za kwako Click to expand... Fresh sana mkuu, za wapi?
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Nov 19, 2017 #298,633 Shadrack K. Lwila said: Okee sawa boss wa kitambo Click to expand... Hope roho yako imetulia
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,002 Nov 19, 2017 #298,634 Lyon Lee said: Click to expand... Shem ndio nakumbuka hapa hiyo siku alikuwa anasema ana shida sana na mm
Lyon Lee said: Click to expand... Shem ndio nakumbuka hapa hiyo siku alikuwa anasema ana shida sana na mm
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,002 Nov 19, 2017 #298,635 shululu said: Marahabaaa shemela wangu, D hajambo Click to expand... D mzima sana shemela
shululu JF-Expert Member Joined Jan 26, 2015 Posts 28,137 Reaction score 109,911 Nov 19, 2017 #298,636 Shadrack K. Lwila said: Fresh sana mkuu, za wapi? Click to expand... Nipo kibaha mkuu
Lee JF-Expert Member Joined Jul 31, 2013 Posts 44,001 Reaction score 150,526 Nov 19, 2017 #298,637 Shunie said: Shem ndio nakumbuka hapa hiyo siku alikuwa anasema ana shida sana na mm Click to expand... Ndo ushapendwa
Shunie said: Shem ndio nakumbuka hapa hiyo siku alikuwa anasema ana shida sana na mm Click to expand... Ndo ushapendwa
Shadrack K. Lwila JF-Expert Member Joined Jul 17, 2016 Posts 4,925 Reaction score 14,297 Nov 19, 2017 #298,638 Amenambia ni yeye ni ushaidi wa kimazingira. Ila waku-prove ni wewe tu. Shunie said: Huyo anakujibu kutokana na ww unavyotaka sio lee Click to expand...
Amenambia ni yeye ni ushaidi wa kimazingira. Ila waku-prove ni wewe tu. Shunie said: Huyo anakujibu kutokana na ww unavyotaka sio lee Click to expand...
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,077 Reaction score 464,002 Nov 19, 2017 #298,639 Shadrack K. Lwila said: 'Ujue' nilikuwa na shida na wewe sema mmeo akanikandia Ila 'ujue' kivyovyote vile nina-mpenda sana ... 'Ujue' would you be my lover? Click to expand... Shedede me mtu mzima ujue hizi mambo zenu tafuta watoto wenzio uanze kuwaambia sawa me nipo na baba d yeye humu jf ndio wa kwanza na wa mwisho ikitokea tofauti kati yangu na yeye nakuwa mtawa
Shadrack K. Lwila said: 'Ujue' nilikuwa na shida na wewe sema mmeo akanikandia Ila 'ujue' kivyovyote vile nina-mpenda sana ... 'Ujue' would you be my lover? Click to expand... Shedede me mtu mzima ujue hizi mambo zenu tafuta watoto wenzio uanze kuwaambia sawa me nipo na baba d yeye humu jf ndio wa kwanza na wa mwisho ikitokea tofauti kati yangu na yeye nakuwa mtawa
Shadrack K. Lwila JF-Expert Member Joined Jul 17, 2016 Posts 4,925 Reaction score 14,297 Nov 19, 2017 #298,640 Lyon Lee said: Hope roho yako imetulia Click to expand... Itulie wapi boss, haijatulia bado inatapa-tapa hatar.
Lyon Lee said: Hope roho yako imetulia Click to expand... Itulie wapi boss, haijatulia bado inatapa-tapa hatar.