Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Baba D...Nitaweza shunie mimi jaman
Baba D anaweza kukusaidia ikawa na ratiba ya mazoezi..
Mara tatu tuu kwa week.
Baba D...Nitaweza shunie mimi jaman
Baba D kila siku anaongea kuhusu mazoezi siwezi jaman ameamua kuniangalia tuBaba D...
Baba D anaweza kukusaidia ikawa na ratiba ya mazoezi..
Mara tatu tuu kwa week.
Wewe nae uwe na passion basi..Baba D kila siku anaongea kuhusu mazoezi siwezi jaman ameamua kuniangalia tu
Yaani ukiwa unafanya Jogging! Au hata kuruka kamba...Baba D kila siku anaongea kuhusu mazoezi siwezi jaman ameamua kuniangalia tu
Shululu yupo majukumu yamembana shemela,asubuhi huwa anapita hapaShemela...
Shululu umemfungia wapi?
Pouwa..Shululu yupo majukumu yamembana shemela,asubuhi huwa anapita hapa
Asante mke mwee kwa kushkuru akiweka tena nitaletaMke mweee asante ubarikiwe
Asante T nitajitajidi jaman kama nitaweza ninavyopenda nyama nyama mie za mafutaYaani ukiwa unafanya Jogging! Au hata kuruka kamba...
Fanya kupunguza vyakula vya mafuta na wanga mwingi..
Utakuwa umeepuka vitu vingi sana kama pressure, kisukari na kiharusi.
You will be fit and healthier..!
Ahahaa! Na mishkaki ya NunduAsante T nitajitajidi jaman kama nitaweza ninavyopenda nyama nyama mie za mafuta



Najua T jaman lakini ndio hivyo siweziWewe nae uwe na passion basi..
This is all for your goodness..
Acha kabisa jamanAhahaa! Na mishkaki ya Nundu![]()
Punguza kula vya kula vingi vya mafuta bila kufanya mazoezi hasa kama una 35 Years kuendelea..Asante T nitajitajidi jaman kama nitaweza ninavyopenda nyama nyama mie za mafuta
Nundu afu unaweka na Heineken baridiiiii..Acha kabisa jaman


Sawa jaman kibibi gagula mie mpaka age yangu unaijua me nipo 45Punguza kula vya kula vingi vya mafuta bila kufanya mazoezi hasa kama una 35 Years kuendelea..
You will be at risk..
Nundu afu unaweka na Heineken baridiiiii..
Ngano unajua ni full sukari...baadaye inakuwa converted into Glucose...kisukari hichoooo.






Sawa jaman kibibi gagula mie mpaka age yangu unaijua me nipo 45
Eeh! Sasa unakula Nundu afu hupigi Tizi?
Anaza mazoezi ! Pls
Pouwa..
Mwambie mke mwee aanze mazoezi..
Aache uzembe
kibonge wa pedeshee Lee fanya mazoezi