Makapuku Forum

Baba katika jina la Yesu kristo.Asante kwa neema yako ya ajabu katika maisha yetu.asante kwa upendo na fadhili zako nyingi mnoo katika maisha yetu.
Natubu kwa ajili ya kila mmoja wetu maomba utusamehe .
Baba naomba ulinzi wako .usiku huu .Damu ya Yesu itufunike tulale salama .naomba na kaumini kwa jina la Yesu kristo

Amen
 
Hakika mkuu

Nyagei
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…