Bhasi bwana yakawa masaa ,dakika na hatimay sekunde kukawa kumekucha salama kama anko alivoamshwa uku mapema sana ananiomba assist ya kunywa mchemsho wakat jana kanikwepa tulipanga tusindikizane kwenye koloni ila akawa mjanja ....ona sasa mpaka nasahau kukusalimia kapuku mheshimika kwa upuuzi wa anko ....UF iko around