Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Umembipu kasemaMbona ye ndio kanifata hadi nyumbani kwetu huku kp
Umembipu kasemaMbona ye ndio kanifata hadi nyumbani kwetu huku kp
Hilo lako sasahata balimi![]()
maisha mengine yaendeleeHalafu ukishajua?!![]()
![]()
Hayo yako saasaunakomaa nini si yameisha au unataka nije leo jioni tupashe kiporo?

Haya maneno yakitamkwa na mbaya wako ni hatari haitakiwi kuyapuuza hata![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
afu weewee....!!!!

Kakudanganya huyoooo kaja mwenyeeweeeeee kujikomba apaaUmembipu kasema
Baby wangu hawezi kufanya hivyo kwani kwangu kakosa nini hadi ajikombe kwako?Kakudanganya huyoooo kaja mwenyeeweeeeee kujikomba apaa
Acha kujifariji wewe nimejikomba saa ngapiKakudanganya huyoooo kaja mwenyeeweeeeee kujikomba apaa
Haya maneno yakitamkwa na mbaya wako ni hatari haitakiwi kuyapuuza hata![]()
![]()

hili hapaLiko wapi?!![]()
![]()
ingekuwa poa ukamtaja...au ni Obe?Utamjua tu![]()
![]()
Ndio umuulize sasa akupe jibuBaby wangu hawezi kufanya hivyo kwani kwangu kakosa nini hadi ajikombe kwako?