Makapuku Forum

....sijakuagizia mimi, ningekutajia kinywaji hapo ungesema lakini nimeacha uhuru wa kujichagulia kinywaji kuendana na hali yako, kama hali yako inakupambania basi si ulitangaza kuninyima hadi jwisi basi kunywa maji usikie tumbo linavyounguruma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu mimi
 
....sijakuagizia mimi, ningekutajia kinywaji hapo ungesema lakini nimeacha uhuru wa kujichagulia kinywaji kuendana na hali yako, kama hali yako inakupambania basi si ulitangaza kuninyima hadi jwisi basi kunywa maji usikie tumbo linavyounguruma
Kumbukumbu kumbukizi na hiyo juisi nilikuombea mm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…