....sijakuagizia mimi, ningekutajia kinywaji hapo ungesema lakini nimeacha uhuru wa kujichagulia kinywaji kuendana na hali yako, kama hali yako inakupambania basi si ulitangaza kuninyima hadi jwisi basi kunywa maji usikie tumbo linavyounguruma
Haikufa juzi, jana wala leo na wala haitakufa kesho, keshokutwa wala mtondogoo.. labda ife jamiiforum kwanza.. this is a family,tumebandana kwa strong bond..
Kila mtu anaejisikia kuwa wa hapa anakuwa hapa, kufa si rahisi.
...muke ya anko wangu. Aunty yangu wa nguvu, kunywa kinywaji cha gharama unachokipenda kwa hela zako. Niletee risiti tuone kama wamekukata kodi , maana wewe ni mzalendo
....sijakuagizia mimi, ningekutajia kinywaji hapo ungesema lakini nimeacha uhuru wa kujichagulia kinywaji kuendana na hali yako, kama hali yako inakupambania basi si ulitangaza kuninyima hadi jwisi basi kunywa maji usikie tumbo linavyounguruma