Makapuku Forum

Zaburi 136

1 Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

11 Aliwatoa Waisraeli katikati yao(Wamisri); Kwa maana fadhili zake ni za milele.

12 Kwa mkono hodari na mkono ulionyoshwa; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

13 Yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

14 Akawavusha Israeli katikati yake; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

15 Akamwangusha Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

SIKU NJEMA MBARIKIWE
 
Yes umenikumbusha mbali sanasana asante Obe ubarikiwe
 
Amina mama
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…