Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Ndo maana yakeAu nguo, uvae au umwage lazi
Ndo maana yakeAu nguo, uvae au umwage lazi
Kiaje mkuu.Kama vile kuna misunderstanding
Kuna Uzi ulianzishwa unasema Rais wa Makapuku ni nani.Kiaje mkuu.
Yule mpare wenu ndiyo alileta mawenge.Kuna Uzi ulianzishwa unasema Rais wa Makapuku ni nani.
Habari yako bwana mchungaji.Daah leo tiba katutembelea!
Jimena hebu sema naye c wajua hitaji langu ee#
Chizi yuleYule mpare wenu ndiyo alileta mawenge.
Habari yako bwana mchungaji.

Tuliupotezea halafu wakongwe wakajitokeza kwa kiherehere wakafikiri tutaenda kujibu lkn HOLLAH zen Mod kauhamishia hukuKuna Uzi ulianzishwa unasema Rais wa Makapuku ni nani.
Ndo maana nikaona some comments za kijinga kutoka kwa wajinga Fulani hiviTuliupotezea halafu wakongwe wakajitokeza kwa kiherehere wakafikiri tutaenda kujibu lkn HOLLAH zen Mod kauhamishia huku
Kick zitaua watu
Wamekuwa km![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......................
Nini kimefanyika now naona dhoruba kama imepungua hiviNdo maana nikaona some comments za kijinga kutoka kwa wajinga Fulani hivi
Kemea hiyo roho uwapo kanisan hata mahubiri utasikia kweli? Ama utakuwa unasema tu Ameeen bila kujua hata Pastor alifundisha nini..Dah wakuu nilikua nmekaribishwa kanisani na rafiki, kuna mtoto kakaa karibu ni nomaa mapigo yananienda mbioo