Makapuku Forum

ZABURI 90

12.Basi utujulishe kuzihesabu siku zetu,tujipatie moyo wa hekima.

13.Ee BWANA utarudi lini?Uwahurumie watumishi wako.

TUMUOMBE SANA MUNGU ATUFUNDISHE KUHESABU SIKU ZETU,TUWE NA UPENDO..TUTUMIKIE NA KUWAJIBIKA...

MCHANA MWEMA
 
*
TUOMBE*
Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu Muumbaji vitu vyote. Asante kwa kutufikisha siku hii ya leo,tunakuabudu, tunakusifu na kukutukuza wewe. Tunamkataa shetani na kazi zake zote kwa Jina la Yesu,Tunaomba Damu ya Yesu itunenee mema sawa sawa na mahitaji yetu yote. Tuongoze Roho wa Bwana kila tutakapo kuwa leo ni kupitia Jina la Yesu tunaomba Amina.

SIKU NJEMA WANA WA MUNGU MBARIKIWE
 
Asante kwa neno mama mchungaji
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…