Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Enjoy a day 'great kapuku'

Enjoy a day 'great kapuku'

Asante husobe

Mie ndio kingekuwa kisingizio cha kuikacha shule..
Ya mungu mengi, ya kuku mayai..
Mie mmoja wao
MashallahAlitunukiwa tuzo ya Grammy kwa umahiri wake kwnye muziki wa Jazz, baadaye aliamua kubadili dini na kuitwa
Abdullah Ibn Buhaina
![]()
Inategemea na roho ya mtu mkuu, pesa mwanaharamu...kaandika vitabu vingi sana na pia ni mtu aliyependa kujitolea mali zake zilizopatikana kutokana na kazi zake za sanaa na hasa utunzi na uandishi wa vitabu. Keshatumia zaidi ya dola milioni 100 kwa ajili ya kuendeleza elimu, utamaduni na uandishi Marekani na Canada. Hapa ndo ninapojiuliza kina Shaban Robert na Shafi Shafi tungekuwa tunawaunga mkono kwenye kununua kazi zao tungekuwa na si tu wajinga wachache bali pia huduma za kielimu michango ingepungua sana
![]()
Morning chief!!Chief in chargegd mornie
Hope j3 imeanzwa vyemaMorning chief!!
Namshukuru muumba kwa hilo...Hope j3 imeanzwa vyema
AmenKwa Hisani ya mama mchuchu BlessedHope na mwanae kipenzi Sakayo
Pateni Sala ya Ushindi.
Zaburi 20: 1-5
![]()
Mungu awalinde.
Thanks Lyon Lee ubarikiwe...Enjoy a day 'great kapuku'