Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Napajua basi ni mambo ya kuweka hela na kujipatia faida sijuiWapi uko
Napajua basi ni mambo ya kuweka hela na kujipatia faida sijuiWapi uko
Niniiiiii jaman ebu hukoMke mweee una uhakika na unachokisema?
Ujue dada hayo maneno siyaelewi weka picha wanavyo kulana binadamu

Unachofanya hukijui eeehNimefanyaje tena mama jj
Hii ntaisoma baadaeLeo nitawapa wanawake wenzangu siri 3 muhimu:
1. Maisha ya mwanaume ni kama medani ya vita. Siku zote anajichukulia kuwa yuko vitani. Wakati mwingine analazimika kuficha siri zake kwa sababu anazichukulia kuwa ni siri za vita. Ukiwa msiri atakwambia siri zake, kama huna sifa ya usiri na uwezo wa kuzitunza hatokwambia. Wanaume wengi hawawaambii siri zao kwa sababu wanahisi kuwa siri hizo hazitokuwa salama.
2. Katika maisha ya mwanaume kuna mambo kama 5 humpa wasiwasi muda wote. Katika lugha ya ushauri tunayaita "worries". Miongoni mwa mambo hayo ni UCHUMI wake. Anapokuwa na wasiwasi wa kiuchumi, hujawa na msongo kwa sababu hujihesabu kuwa yeye ndiye muwajibikaji nambari 1 kwa familia yake. Hivyo, wakati fulani kama wamuona mumeo hana raha, ana hasira, kisirani, jazba, ubaridi wa kimahabba, chunguza kama yuko salama KIUCHUMI. Chunguza kama ana deni, mkopo au kitu kingine kinachoendana na UCHUMI.
Na mara nyingi, wanawake wanaopendwa sana ni wale wenye fikra za kumtoa mume kwenye changamoto ya kiuchumi.
3. Mwanaume akiwekewa hapo wanawake wawili: Mmoja akawa anamheshimu, kumsikiliza na kumtii.. Na mwingine akawa anampenda, basi atamchagua huyo wa kwanza. Kwa nini? Kwa sababu hitajio nambari moja ni kuheshimiwa na utiifu.
Hivyo, mwanaume hapendelei kuwa na mwanamke mwenye hisia kali na mhemko uliopitiliza (too emotional), mwanamke mwenye maneno makali, mwanamke anayemponda.
Hizo ni siri tatu ambazo nimependa kushirikiana nawe
Muwe na mchana mwema.
Mwenyewe hata hajui km kafotolewaMshikaji naona unawajibika ...ungelisogea kwa nyuma tukaona kazi ya muumba kwa huyo anayeonekana
Roho mbaya yako tuuMwenyewe hata hajui km kafotolewa
KaogeeeRoho mbaya yako tuu
UacheeeKaogeee
Shemej vip tena!?
Leo nitawapa wanawake wenzangu siri 3 muhimu:
1. Maisha ya mwanaume ni kama medani ya vita. Siku zote anajichukulia kuwa yuko vitani. Wakati mwingine analazimika kuficha siri zake kwa sababu anazichukulia kuwa ni siri za vita. Ukiwa msiri atakwambia siri zake, kama huna sifa ya usiri na uwezo wa kuzitunza hatokwambia. Wanaume wengi hawawaambii siri zao kwa sababu wanahisi kuwa siri hizo hazitokuwa salama.
2. Katika maisha ya mwanaume kuna mambo kama 5 humpa wasiwasi muda wote. Katika lugha ya ushauri tunayaita "worries". Miongoni mwa mambo hayo ni UCHUMI wake. Anapokuwa na wasiwasi wa kiuchumi, hujawa na msongo kwa sababu hujihesabu kuwa yeye ndiye muwajibikaji nambari 1 kwa familia yake. Hivyo, wakati fulani kama wamuona mumeo hana raha, ana hasira, kisirani, jazba, ubaridi wa kimahabba, chunguza kama yuko salama KIUCHUMI. Chunguza kama ana deni, mkopo au kitu kingine kinachoendana na UCHUMI.
Na mara nyingi, wanawake wanaopendwa sana ni wale wenye fikra za kumtoa mume kwenye changamoto ya kiuchumi.
3. Mwanaume akiwekewa hapo wanawake wawili: Mmoja akawa anamheshimu, kumsikiliza na kumtii.. Na mwingine akawa anampenda, basi atamchagua huyo wa kwanza. Kwa nini? Kwa sababu hitajio nambari moja ni kuheshimiwa na utiifu.
Hivyo, mwanaume hapendelei kuwa na mwanamke mwenye hisia kali na mhemko uliopitiliza (too emotional), mwanamke mwenye maneno makali, mwanamke anayemponda.
Hizo ni siri tatu ambazo nimependa kushirikiana nawe
Muwe na mchana mwema.
natamani niongezee ila sioni umuhimu,

Msondo unamuhusu![]()
![]()
natamani niongezee ila sioni umuhimu,
![]()
![]()
![]()
Umekuwa shunie, wacha tumuite husna tuje kukucheza ngoma..![]()
![]()
![]()
Kwa kweli..Msondo unamuhusu
PouwaMambo vp

![]()
![]()
natamani niongezee ila sioni umuhimu,
![]()
![]()
![]()
Umekuwa shunie, wacha tumuite husna tuje kukucheza ngoma..![]()
![]()
![]()

Mzima ??Pouwa![]()
Love kwemaPouwa![]()