Makapuku Forum

Zaburi 130

5 Nimemngoja BWANA, roho yangu imengoja, Na neno lake nimelitumainia.

6 Nafsi yangu inamngoja Bwana, Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi, Naam, walinzi waingojao asubuhi.

7 Ee Israeli, umtarajie BWANA; Maana kwa BWANA kuna fadhili, Na kwake kuna ukombozi mwingi.

8 Yeye atamkomboa Israeli na maovu yake yote.

Amen

MUNGU AWABARIKI JUMATATU NJEMA NA WIKI NJEMA
 
Asante kwa neno la uzima mama mchungaji
Ubarikiwe sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…