Zaburi 119:140,165
[140]Neno lako limesafika sana,
Kwa hiyo mtumishi wako amelipenda.
[165]Wana amani nyingi waipendao sheria yako,
Wala hawana la kuwakwaza.
Biblia. Waefeso 6:11-12
[11]Vaeni silaha zote za Mungu, mpate kuweza kuzipinga hila za Shetani.
[12]Kwa maana kushindana kwetu sisi si juu ya damu na nyama; bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza hili, juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.
Zaburi 119:140,165
[140]Neno lako limesafika sana,
Kwa hiyo mtumishi wako amelipenda.
[165]Wana amani nyingi waipendao sheria yako,
Wala hawana la kuwakwaza.