Makapuku Forum

Amen, Asante kwa neno la uzima shemasi
 
Asante husna muba aka Husobe kwa historia.

Uwepo wetu Makapuku wote unaifanya sub-forum hii hapa JF kuwa nzuri na ya kuvutia.

Tuwe na wakati mzuri.

Ngoja nisake mkate nitarudi tena, si mnajua hapa story tu


Yeah hapa ni story tu kula kwako mzeiya na hata ukibahatika kula hapa basi ujue utakula kwa macho tu na sio kwa mdomo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…