Wa kwangu ni wa kike.... Hao wa T ni wa ubatizo mwaya!!!!Ewaaaaaaa sasa mama n kwani we na mumeo mna mapacha tofauti mbona wa t wa kubwa wanatembea halafu ni wa kike na wa kiume jamaan hawa niliowazoea wakike dada
Mbona tayari bhanaaNaomba niwaone dada jamaan nimewamiss ujue
Azimii MTU apaa
Kwani huyo mama anaikata ?! Kusema ntakuwa siifaidi tena!
Mjukuu wangu punguza.... Unajua dawa mimi sina dawa za dawa za vidongo (mungu akuepushie)Mfyuuuuuuuuuu
Mmh DadaWa kwangu ni wa kike.... Hao wa T ni wa ubatizo mwaya!!!!nimetoka kuwaogesha saivi
Achana na mmBaba d naomba German machine plz..
Yaaani walibebishana usiku kuchaNilikua sipo mie sijaingia usiku humu usiniambie kwahiyo tetra kashajipatia le mubebe wake woiiiii
Nipunguze nini mie tena babuMjukuu wangu punguza.... Unajua dawa mimi sina dawa za dawa za vidongo (mungu akuepushie)
Nimewaona dada jamaanMbona tayari bhanaa
Nakusalimia mm hapaa...usinisimuliee ndoto ya janaAmin na kwako pia mpendwa
Mjukuu wangu punguza ukali..... Unajua mimi sina dawa za vidonda vya tumbo (mungu akuepushie)Mjukuu wangu punguza.... Unajua dawa mimi sina dawa za dawa za vidongo (mungu akuepushie)
Mfyuuuuuuuuuu
Aiseeeee mahaba mahabaniYaaani walibebishana usiku kucha
Naveen na Nareen...Mmh Dadakwahiyo kila mtu na mapacha wake nawapenda tu mie naveen na nani sijui
Unamtaka na huyu au ndo yale majuto mjukuuLeo umenigeuka uko upande wa lee sio
SawaNimewaona dada jamaan
Weee kuwa silias ....jana si umeokotaa dume hapaTulia basi shoga, wakati ukifika nitawatambulisha
Naveen na Nareen...
Wale wakubwa tumewasimamia kwenye ubatizo!!!!
Kasema mpaka watumiane picha nahisi akikutana na sura ya wassira mapenzi ndio yatakapoishaWeee kuwa silias ....jana si umeokotaa dume hapa