BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Zaburi 122
1 Nalifurahi waliponiambia, Na twende nyumbani kwa BWANA.
2 Miguu yetu imesimama Ndani ya malango yako, Ee Yerusalemu.
3 Ee Yerusalemu uliyejengwa Kama mji ulioshikamana,
4 Huko ndiko walikopanda kabila, Kabila za BWANA; Ushuhuda kwa Israeli, Walishukuru jina la BWANA.
5 Maana huko viliwekwa viti vya hukumu, Viti vya enzi vya mbari ya Daudi.
Nawe piaTUOMBE*
Tunakushukuru kwa kutufikisha siku hii ya leo. Baba zidi kutupigania, tupiganie katika kazi,biashara,Familia,Maisha na Mahitaji yetu mbalimbali. Tunajitakasa Kwa Damu ya YESU. Tunateketeza,Ng'oa na kuharibu kazi za shetani kwa Moto wa Roho Mtakatifu. Eeh Mungu kumbuka Taifa letu na watu wake, tuongoze kila tutakapo kuwa leo.ponya wagonjwa na wape faraja wafiwa,angalia wajane,wagane,yatima na wenye mapito mbalimbali uwe pamoja nasi siku yaleo Roho Mtakatifu kaa nasi utuongoze, Ni katika Jina la Yesu tunaomba,tukiamini na kushukuru Amina.
SIKU NJEMA FAMILIA ,MUNGU AWABARIKI SANA
Wa mwisho kulala, wa mwanzo kuamka..
Kama nalala sebuleni...
Asante jirani na kwako pia siku njemaAsubuh njema ndugu zangu, neema na baraka zake muumba ziwe nasi, atuongoze katika mambo yetu atufanikishie mipango yetu juu ya yale tunayotaman kuyafanya katika siku ya leo, atulinde na kutuepusha na mabala inshaallah
Nawapendeni ndugu zangu, asubuh njema kwenu.
Safi tu jirani sijui wewe jirani yangu, tumosa nae na wanangu je!!?jirani za kwako
Morning too jiraniMorng jirani
Amen, Asante mama mchungaji kwa neno la uzimaZaburi 122
1 Nalifurahi waliponiambia, Na twende nyumbani kwa BWANA.
2 Miguu yetu imesimama Ndani ya malango yako, Ee Yerusalemu.
3 Ee Yerusalemu uliyejengwa Kama mji ulioshikamana,
4 Huko ndiko walikopanda kabila, Kabila za BWANA; Ushuhuda kwa Israeli, Walishukuru jina la BWANA.
5 Maana huko viliwekwa viti vya hukumu, Viti vya enzi vya mbari ya Daudi.
TUOMBE*
Tunakushukuru kwa kutufikisha siku hii ya leo. Baba zidi kutupigania, tupiganie katika kazi,biashara,Familia,Maisha na Mahitaji yetu mbalimbali. Tunajitakasa Kwa Damu ya YESU. Tunateketeza,Ng'oa na kuharibu kazi za shetani kwa Moto wa Roho Mtakatifu. Eeh Mungu kumbuka Taifa letu na watu wake, tuongoze kila tutakapo kuwa leo.ponya wagonjwa na wape faraja wafiwa,angalia wajane,wagane,yatima na wenye mapito mbalimbali uwe pamoja nasi siku yaleo Roho Mtakatifu kaa nasi utuongoze, Ni katika Jina la Yesu tunaomba,tukiamini na kushukuru Amina.
SIKU NJEMA FAMILIA ,MUNGU AWABARIKI SANA
Shukrani jirani.. hapa nishapata magazeti ya kununua, sio kufika kwa muuza magazeti na kubung'a bung'a macho tu kama mchawi aliyekamatwa ukweni..View attachment 595177Asubuhi njema makapuku wote
Wote wazima kabisa jiraniSafi tu jirani sijui wewe jirani yangu, tumosa nae na wanangu je!!?
Shukrani jirani..Asante jirani na kwako pia siku njema
Nashkuru, msalimie shemeji yangu tumosa.Wote wazima kabisa jirani
Hizi gazeti zingine khaa
MorningMorning all kapuku
AmeniTUOMBE*
Tunakushukuru kwa kutufikisha siku hii ya leo. Baba zidi kutupigania, tupiganie katika kazi,biashara,Familia,Maisha na Mahitaji yetu mbalimbali. Tunajitakasa Kwa Damu ya YESU. Tunateketeza,Ng'oa na kuharibu kazi za shetani kwa Moto wa Roho Mtakatifu. Eeh Mungu kumbuka Taifa letu na watu wake, tuongoze kila tutakapo kuwa leo.ponya wagonjwa na wape faraja wafiwa,angalia wajane,wagane,yatima na wenye mapito mbalimbali uwe pamoja nasi siku yaleo Roho Mtakatifu kaa nasi utuongoze, Ni katika Jina la Yesu tunaomba,tukiamini na kushukuru Amina.
SIKU NJEMA FAMILIA ,MUNGU AWABARIKI SANA
Zimefika jiraniNashkuru, msalimie shemeji yangu tumosa.
Morning mme mweeMorning
Kaka nakusalimia na kukupa poleeeWa mwisho kulala, wa mwanzo kuamka..
Kama nalala sebuleni...