BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Napafahamu hapo,nakuja sana kwa mpemba ukiwa unaenda kongowe kulia...kulikua hospital ya sanitas zamani sikuhiz hospital haina jina kuna duka la mpemba anavitu vingi sana...karibu kisotaMjimwema ndio maskani. Kuna sehem inaitwa kibaon, hapo mim ndio maskani.
Sasa hv nimesafiri kidogo ila nikirud ntajitahid tuonane ndugu yangu.Kisota
AmenAmin, baraka zake mmiliki wa mbingu na ardhi iwe juu yetu sote.
eti mtoto wa mganga
Mtu mwenyewe anaitwa moneytalk,
Moneytalks na mie kapuku wapi na wapi, unataka nijuvue nguo bure bhana
Vip tena, mbina hvyo ndugu yangu..
Hahaaa... Kaone kwanza, kipi kikichokufurahisha sasa..hapo umenifurahisha
.. eehh, we ukaoni kalivyo na nongwa..
Ika usimwmbie mwenyewe bhana.. tunaheshimiana
UmenishangazaVip tena, mbina hvyo ndugu yangu..
Huo usemi wa mtoto wa mgangaHahaaa... Kaone kwanza, kipi kikichokufurahisha sasa..
Tena wale amabao ndugu yao amefariki na kuacha vimali vingi vingi..namuona ananongwa kama ndugu w mume
Hahahaaaa hapo umemaliza kabisaTena wale amabao ndugu yao amefariki na kuacha vimali vingi vingi..
Na kipi ndugu yangu.. au nipo umunyu umunyu nin unanichungulia, mapaka unishangaeUmenishangaza
Na kipi ndugu yangu.. au nipo umunyu umunyu nin unanichungulia, mapaka unishangae
Kisota
Aahh.. teh teh teh teh, kama ndio hvyo basi ushafika cz hapo ndio home ndugu yangu, ile hospital siku hizi inaitwa grette, sasa uapnde wa pili ndio home, kuna kijumba kinavigae vyekundu, mbele kuna banda la chips hv, mara nyingi kuna kinisani patrol kimoja kinapaki, basi hapo ndio maskan, ukiniulizia makaveli hapo, unaoneshwa hata na bataNapafahamu hapo,nakuja sana kwa mpemba ukiwa unaenda kongowe kulia...kulikua hospital ya sanitas zamani sikuhiz hospital haina jina kuna duka la mpemba anavitu vingi sana...karibu kisota