Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
NtakuleteaMsitufanyie hivyo jaman nawataka wakina jj wa mwanzo
NtakuleteaMsitufanyie hivyo jaman nawataka wakina jj wa mwanzo
....kila siku wanatafutwa watu wasiojulikana, sasa wewe ni mtu unayejulikana , shukuru polisi hawajaweka zawadi ningeenda kuwapa information zako.
Waungwana, hzi habari hazina ukweli wowote, msizipuuze






watakaokuelewa hapo ni wachache baba binamu yangumkuki kwa nguruwe na nyani haoni kundule
Salama kaka wanasemaje hukoNjema dada za kuendeleza ujenzi wa Tanzania
WoyooooooooooooooHatingishiki MTU hApaa na kwa taarifa yako obe simuachiiii
Sitaki kuletewa niwekee hapaNtakuletea
Hata nmesahau nlpokuwa naendaUnaenda wapi eti
KakaDadakeee
Huku hakuna jipya dada tunasubiri mvua ianze tuzamie mashambani kabisaSalama kaka wanasemaje huko
Sitakiiiii we si ndio ulivunja makubaliano au sio wewe kuniletea habari za mateller mara iPhone x me nina moyo binamu baba yangu tuendelee tu hivihivi kufitiniana...sijawahi hata siku moja kukufitini, nilijua tulikubaliana kutowekeana fitna kwenye mambo ya kweli.
Turejee makubaliano yetu please, mimi mgonjwa jamani mnihurumiege
AbeeeeKalumbu
Indipo dada ulimkafuKaka
Twins wangu wako poa, Mr yuko busy mnoo....Wazima kabisa cjui mapacha wako na mumeo
Endelea kwenda mke mwee uniletee shemela wangu shululuHata nmesahau nlpokuwa naenda
Tusizipuuze....kila siku wanatafutwa watu wasiojulikana, sasa wewe ni mtu unayejulikana , shukuru polisi hawajaweka zawadi ningeenda kuwapa information zako.
Waungwana, hzi habari hazina ukweli wowote, msizipuuze
Jobha ingupilikishe kalumbuAbeeee
Kwakweli Mungu atasaidia kaka akeeHuku hakuna jipya dada tunasubiri mvua ianze tuzamie mashambani kabisa
...sijawahi hata siku moja kukufitini, nilijua tulikubaliana kutowekeana fitna kwenye mambo ya kweli.
Turejee makubaliano yetu please, mimi mgonjwa jamani mnihurumiege
