Dah aisee habari yenu bana makapuku ,kitambo sijaingia humu ,nilikua napita tu ,nina tatizo siwezi ku qoute wiki ya pili sasa na nikiandika comment zaidi ya moja naambiwa data error
Pole sana....... Miss you mno, sasa sijui tatizo ni nini mpaka huwezi kuandika post zaidi ya moja, Natumai umefikisha malalamiko ya tatizo lako kwa wahusika na wanalifanyia kazi sasa