EMMYGUY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 11,115
- 25,414
Hahahaaa...Ila yale mauno ndo basi tena
Hahahaaa...Ila yale mauno ndo basi tena
Hahah basata watakuhusuNgoja nikipata bundle nitaitupia hapa.
Hahah pole sanaHahahaaa...
wakuu kwa wale wa man city poleni sna
ah ao jamaa na wale wenzetu noisy neighbours basi walidhani wameokota mitende mwaka huu kumbe ngoma ya watoto haikeshi![]()
Zamu ya Riverfool FC
![]()
![]()
![]()
![]()
.......................
Sawa jimena kazi njema.Nawamiss ila sina jinsi
Asante mkuu.wakuu kwa wale wa man city poleni sna
Usiwe na shaka mkuu hata ukiokota kabomu ka nuclear wewe lete tu sisi shida yetu ni kuona moto unawaka.
Mi samtaimu nacheki game LIVE kwa kutumia simu(live stream )ah ao jamaa na wale wenzetu noisy neighbours basi walidhani wameokota mitende mwaka huu kumbe ngoma ya watoto haikeshi
![]()
Zamu ya Riverfool FC
![]()
![]()
![]()
![]()
.......................
Kibanda umiza siku ukifungwa ndo utapaona pachunguMi samtaimu nacheki game LIVE kwa kutumia simu(live stream )
Kibanda umiza makelele mengi km home TV haioneshi naweka bundle kwenye simu
Hapa soka tu
...................
Gane dk 90leo wanakufa hao villareal sio wa mzaha
Sasa mimi Mansheeder UbwegetedKibanda umiza siku ukifungwa ndo utapaona pachungu
Gane dk 90
Halafu nasikia bingwa wa Europa League atakuwa anacheza Champions League
Sina uhakika kuhusu hii ishu
.. ..............
Sasa mimi Mansheeder Ubwegeted
Mapresha tu
![]()
![]()
![]()
![]()
....................
Haya poandio anacheza uefa mana sevilla alichukua akapanda uefa
mkuu bitoz leo bwawa la main linateketea goli nyingi sana.
Haya poa
Weka university bundle
..............