Mungu unihifadhi mimi kwa maana nakukimbilia wewe
Nimemwambia Bwana ndiwe Bwana wangu sina wema ila utokao kwako
ZABURI 16:1-2
MUWE NA JUMAMOSI NJEMA KWENU MBARIKIWE SANA
Hakika huku ni kwetu pazuri, ukarimu sio wa nchi hiiukarimu jadi yetu
Utambulisho unaendelea ujue
Veeep hayo macho jamaanhaleluya
Huyo anayeitwa husna muba avatar yake anashare na obe hao ni mtu na mpendwa wake yaan ni wapenzi etiHakika huku ni kwetu pazuri, ukarimu sio wa nchi hii
Hakika umenena vyema mama wawiliukarimu jadi yetu
Niambie mama watoto wanguBaba wawili
AmenMungu unihifadhi mimi kwa maana nakukimbilia wewe
Nimemwambia Bwana ndiwe Bwana wangu sina wema ila utokao kwako
ZABURI 16:1-2
MUWE NA JUMAMOSI NJEMA KWENU MBARIKIWE SANA
Huyo anayeitwa husna muba avatar yake anashare na obe hao ni mtu na mpendwa wake yaan ni wapenzi etilee empire ni baba d wangu yaan ni shemeji yako wa kwangu mimi tu kiboko yangu achana na maneno ya binamu obe ukimsikia akimuongelea mana binamu obe anatamani kuona me na anko wake tunaachana ili afanye sherehe
Shemela za mchanaHuyo anayeitwa husna muba avatar yake anashare na obe hao ni mtu na mpendwa wake yaan ni wapenzi etilee empire ni baba d wangu yaan ni shemeji yako wa kwangu mimi tu kiboko yangu achana na maneno ya binamu obe ukimsikia akimuongelea mana binamu obe anatamani kuona me na anko wake tunaachana ili afanye sherehe
Utambulisho bado unaendelea ujue shemela
Safi shemela wangu mie za wewe jamaanShemela za mchana
Nzuri kabisa shemela wangu shunie, notification sipati, sijui ni mimi tuSafi shemela wangu mie za wewe jamaan
Sio wewe shemela hata mimi ujue mpaka nirudi kwenye jukwaaNzuri kabisa shemela wangu shunie, notification sipati, sijui ni mimi tu
Basi kutakuwa na tatizoSio wewe shemela hata mimi ujue mpaka nirudi kwenye jukwaa
Tena kubwa sana shemelaBasi kutakuwa na tatizo
Aminaaa mamyMungu unihifadhi mimi kwa maana nakukimbilia wewe
Nimemwambia Bwana ndiwe Bwana wangu sina wema ila utokao kwako
ZABURI 16:1-2
MUWE NA JUMAMOSI NJEMA KWENU MBARIKIWE SANA
Huyo anayeitwa husna muba avatar yake anashare na obe hao ni mtu na mpendwa wake yaan ni wapenzi etilee empire ni baba d wangu yaan ni shemeji yako wa kwangu mimi tu kiboko yangu achana na maneno ya binamu obe ukimsikia akimuongelea mana binamu obe anatamani kuona me na anko wake tunaachana ili afanye sherehe