Makapuku Forum

Binamu obe nilisahau jamani nilimpa mama mchuchu salaam zako ulizoniamba umenunua Samsung galaxy anasema mnunulie na yeye

Asante kwa kufikisha salamu zangu kwake,

Hukumwambia kuwa hela ya kununulia nilimuibia anko wangu? Je, hana tatizo nikiiba tena hela za anko wangu nikamnunulia?

Muulize tu kwa nia njema maana kama anakubaliana na hilo, mimi siku mjomba akinipa hela nipeleke kwa side chick(sio main chick wimbo unaopendwa na aunty yangu wewe na Tetramelyz anasema sauti ya Maua na sura ni tofauti😀) basi nifanye mchakato, nifikishe nusu , nusu nimnunulie simu
 
kakuelewaaa
 
Binamu hapo kwenye hizo mambo za side chick ndio umeharibu na mambo ya kupewa hela upeleke huko umeharibu salaam sipeleki mama mchuchu akija utamwambiq
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…