Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Dar kuna wine za kichina balaaa...Hiyo wini iko vizuri kuliko dompo, cha ajabu hapa dar haipatikani
Unaweza ukanywa pipa hata huisikii


Dar kuna wine za kichina balaaa...Hiyo wini iko vizuri kuliko dompo, cha ajabu hapa dar haipatikani


Sijui shemela jaman niambie basiJibu tu, mbona swali limeeleweka
WoyooooooooooooWekaaa vyomboooo mkuu duniaa yenyewe haileweekiii
Usisahu kawimbo ketuuuBata alhamisi hadi jpili
Ngoja niingie mjini kwanza..
WoyooooooooooooWoyoooooooooooo






MnitagTwende mmu nini?![]()
Ni kweli shemela na ukipendwa ringaaaShika ushikamane shemela
Kaniambia hapendi kwani alinijibu shemelaUlisema hapendi, kakuumbua mchana kweupe
Nikooo makiniiii hapaaa....Sky sports live
AiseeMule Mola!
duuh, nausogezaje usiku huu sasaSina mkuu
Ndio maana yakeNi kweli shemela na ukipendwa ringaaa
Bhinamu ngojaa ajee na iliyotafsiriwaa na lufufuyoyote tu, leta
Mrembo..![]()
![]()
![]()
missing you too
Mahrez vipNikooo makiniiii hapaaa....
Mmh kuna hatari naiona hapa ya kukesha kapuku me nitakuachaNikifikaaa
MondrayHaha....x dooh!
Ndio maana mnaambiwa muoe ninyi vijana