Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,287
- 35,678
WooozaaaaTumekusamehe uchochezi sio mzuri humu watu wanakulana kweli unavyoongea hivyo unataka watu wanunianee jaman au
Anawahi chumbaniUtajkwaa ujue
Mchumi sanaHa ha ha ha ha ha.... Wenger mchumi eeh?
Km mpare/mchagaMchumi sana
..umeanza maswali yako, umenifitini kwa BH na huku tafwadhari usiniharibie. mimi Mmakonde aunt yangu, ila mmakonde wa mwanza

Nawe pia mkuu musoliniUsiku mwema makomredi
Na kwako pia shemejiMuwe na usiku mwema jamanii... Mungu akijaalia tukutane kesho
Ni wewe na anko wako...shanga 1500 ulizisemaga wewe lakini ujue?
Hao hawamfikii WengerKm mpare/mchaga
Yaani rafiki yangu shululu unashangilia!!!Woyoyoooooooooooo
Kamuuza Chamberlin
Hata kusajili hamna
Wa Mtae wanajuanaYaani rafiki yangu shululu unashangilia!!!
Si amemsajili lacazette bhanaHata kusajili hamna
Joking?![]()
No,just joking
Matani si ndiyo hayo.watu hawajui matani