Makapuku Forum

Makapuku Forum

...hukusikia kwani, yaani anko hakukwambia! Niliachika, yaani aliniacha. Kisa chenyewe ni cha kijinga tu, eti nilimuomba aongeze zile mambo zangu nikataka shanga akabaki kushangaa eti kwanini alizonazo hazitoshi? Nikamwagwa, ila ilikuwa ni zamani kabla sijakutana na tulizo langiu la moyo alhabib Husna
Binamu hivi we ni mmakonde au samahani lakini kwahiyo mpendwa wako anavaa shangaa 1500
 
Hongera Kwa kua dada mzuri kwa Sakayo.... A friend in need is the friend indeed.... Obviously I am joking Shunie .....please turn on a joking mode.... Mimi ni babu yako ujue.

Sent using Jamii Forums mobile app
Najua we ni babu yangu ila unachotaka kuleta babu ni uchochezi jaman yaan sipendi kuona sakayo akiumizwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom