shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Muziki: Ukimya Sio Amani
Nimerudi! itoshe tu kusema nimerudi na kurudi sio kufanya marudio japo haimaanishi kurudia ni jambo baya na ndiyo maana ninarudia kukusalimia Kapuku mheshimika sana, hujambo lakini! najisis kupoteza touch zangu wakati ninapoandika. Unataka kujua nilikuwa wapi na kwanini nilipotea, well, nitakuambia maana wewe kuwepo humu hulifanya group hili kuwa poa na si zilipendwa.
shululu huwezi kuamini hata nilipokuwa sichangii chochote nilikuwa nasoma magazeti, husna muba unataka niandike nini ujue kuwa kama ni saa basi wewe ndo funguo. Mjomba nakuelewa lee empire , najua umerudi na sijasahau hata siku moja. Clkey hongera kwa kupata mtoto, dunia tuko bilioni 7 na huyu wako anaifanya dunia yetu ipendeze kwa kuwa na watu 7,000,000,001 na hawa wanajumisha Tumosa , Sakayo , Transcend , Nyagei mtaasisi, mzeewakungoa , dumejeuri ,Shunie , Jimena , Bitoz , Mndali ndanyelakakomu ,Tetramelyz , Bailly5 , Madame S , Mondray na wewe unayesoma hapa jua kuwa uko mtu makini kwa kuwa hapa.
Muziki sasa; ndo kwanza nimerudi na hata kizibao sijatoa na sitaki kukuchosha bali nataka uburudike na you what, muziki unaweza kuja mapema kiana ila ni usiku tu maana baniani bado anahitaji huduma
Asante kwa music kiongozi Obe
