Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,320
- 35,823
Asante sana mdau! Ujue kudhamini magazeti si kazi ndogo, ngoja nitarudi mida ya jioni tenaTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO kwa udhamini mnono wa Obe
Asante sana mdau! Ujue kudhamini magazeti si kazi ndogo, ngoja nitarudi mida ya jioni tenaTUPATE DONDOO ZA MAGAZETI YA LEO kwa udhamini mnono wa Obe
Mtaasisi sisi obe..... Husna yuko wapi? Au umetangulia kutoka [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]....anko, nivumilie kwa siku mbili nitaingia kusoma text zote na kila kitu kinarudi kama mwanzo! Nafinalize kila kitu sasa na leo muziki unapanda bila kwere.
Nimekumiss sana anko, tuko pamoja
Mtaasisi sisi obe..... Husna yuko wapi? Au umetangulia kutoka [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mondray unaishi Zanzibar kuna kitu nahitaji unisaidie
Morning shululuMorning all kapuku
Sikuona shem.... Ila mie Sijawahi chomeshwa hayo mahindi ujue... Kwanza huyoo mwanaume ataanzia wapiii
NzuriHabariii zenuu wakuu
Karibu auntieNimepata kuwasalimu tu
Si pembeni jamani nawwKipi mama wenger..
MorningMorning rafiki kipenz
KwemaaaHabariii zenuu wakuu
Basi sawa... Kwa hio kiporo bado kimelala....tulia Mzee mwenzangu, baada ya kupasha kiporo nikatangulia kwenda kula supu na chapati. Atakuja tu husna muba wangu
KabisaaSakayo mwenyewe ...roho na sura ya babake
Cc mzeewakungoaSakayo mwenyewe ...roho na sura ya babake
SijamboMzima wewe
Ingia website yaoJamani msaada wenu ,kiukweli nitawashukuru mnooooooooo,nawezaje kupata mawasiliano ya Waziri wa Kazi
Ajira na Vijana?