Katika dondoo za bbc. ..
[emoji117] Muungano wa vyama vya upinzani nchini Kenya NASA wapinga mahakamani ushindi wa Rais Uhuru Kenyatta, kesi yao kuanza kusikilizwa leo
[emoji117] Watu takriban elfu 2 wameokolewa kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua nyingi katikja mji wa Houston baada ya kimbunga kinachofahamika kwa jina la Harvey
kuukumba mji huo
[emoji117] Zao la alizeti ni moja kati ya mazao yanayolimwa mkoani Dodoma nchini Tanzania ambapo hutumika kama zao la chakula na biashara.
[emoji117] Serikali ya Kenya imepiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki. Kuanzia leo, yeyote atakayepatikana akiitumia, akiiuza ama kuitengeneza atatozwa faini ya dola elfu arobaini ama kifungo cha miaka minne jela
[emoji117] Maafisa wa masuala ya usalama barani Afrika wanakutana nchini Uganda katika mkutano wa tatu kuhusu kikosi maalum cha haraka cha Afrika kinachopambana dhidi ya migogoro
[emoji117] Kwa mara ya kwanza Mwishoni mwa juma, Zanzibar iliandaa msafara wa magari ya zamani ambayo yaliwahi kutumiwa katika miaka ya sitini na hamsini
Hii picha imejipostiiiiiiiii