Makapuku Forum

Additional

Leo asubuhi kulikuwa na pambano la pesa
The money fight
Floyd Mayweather vs Connor McGregor
Hapa niwaweke sawa tofauti ya KO NA TKO

KO ni kitendo cha kupigwa na ukashindwa kufurukuta baada ya kuangushwa na ukahesabiwa mpaka kumi.

TKO ni pale unapozidiwa hata kama hukuangushwa, refa akaamua kusimamisha pambano au timu yako kurusha taulo ulingoni kuashiria pambano wameshindwa.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…