Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wanawaita nani vileeeeee Baba D popote ulipo naomba yale mahela tuliyowekeana dau kuhusu mechi ya leo
1c73185d9f887cb47a7884c7c24da515.jpg
609608276a0474a9d8174897e698ee86.jpg
b7b63df9aaf4166be6fda28f28848668.jpg
d3b676050cd89f356e81f5c382f764de.jpg
2b8c633914621f5e5a6f1e71faefbe51.jpg
0cbb840aab7a6f6964eba7ba4049f643.jpg
Akikupa naomba uninunulie soda
 
Jibu murua kabisa shemeji
Hodi !
Man uuuuuuuuu..


Bado goli 2

JE WAJUA
Bruce Lee alikuwa na kasi ya ajabu, kiasi kwamba ilibidi wapunguze spidi ya filamu zake ili uweze kuona vitendo vyake kinyume na filamu nyingine zinaongezwa kasi.

Npo karibu yke hapa

Naona umepatwa na utindio was ubongo wahi hospital uapiwe matibabu maana hata wewe hujui unacho zungumza hapa

Hahahaaa chamoto mtakiona awamu hii

Atariiiiiiiiiiii

Tupo na kifo kipo ila tu hakijawadia mkuu!

Kipo Chanika mwisho eneo linaloitwa Gogo minazi mirefu.
Urefu ni meter 42, upana meter 25. Gari inafika na imezungukwa na fensi za ukuta mbili za majirani.
Bei ni million 5 kutoka Million 8 niliyotangaza hapo awali. Karibuni pm tufanye biashara.

Pia nimepata wazo mbadala la kukigawa hichi kiwanja Mara mbili yaani 21 kwa 25 na kuuza 2,500,000.
So kwa atakaevutiwa anaweza kuchagua kununua chote kwa Million 5 au nusu kwa bei niliyotaja hapo juu. Karibuni sana wadau.

Nimelazimika kupunguza bei baada ya kukosa Wateja na ninahitaji pesa ya kuendeleza biashara zangu.

Asanteni wadau kwa ushirikiano wenu
Kwa mawasiliano zaidi 0717079379


Sent using Jamii Forums mobile app

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom