shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Asante mkuuHongera zenu
Asante mkuuHongera zenu
Wazazi wa watoto ndo wakweliSasa mkweli Nani?
Ewaaaaa kukulwa na mtu unayempenda si unajua inavyokuwaNenda kakuliwe mke mweee

Kwa nini mtubadilishie watoto leo shemelaMbona unamwambia mshikaji wako uongo
NawaaminiWazazi wa watoto ndo wakweli
Nakupenda ....ila hujajibu sms yangu ya mwishoSawa baba d wangu![]()
Ntakutumia kwa whatsapp hvi bado unatumia ya dogo eeehIle ya mwanzo uliyoweka kwa avatar
Mmh baba d ipi tena mbona sijaona text jamanNakupenda ....ila hujajibu sms yangu ya mwisho
Hongereni sana jaman me na baba d wangu tuna mmoja tu wa kiume tupo mbioni kuongeza wa kike

Natania aisee. Bado tunakula ujana kwanzaHongereni sana
Hizo mbio sasaHongereni sana jaman me na baba d wangu tuna mmoja tu wa kiume tupo mbioni kuongeza wa kike
Ntakutumia kwa whatsapp hvi bado unatumia ya dogo eeeh







Baba D njo umsikie
Kweliiiii shemela jaman
Mimi natania tu mshikaji wangu, Ila nyinyi ongezeni muijaze makapukuHongereni sana jaman me na baba d wangu tuna mmoja tu wa kiume tupo mbioni kuongeza wa kike
Mdomo huumbaNatania aisee. Bado tunakula ujana kwanza
