Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 23,528
- 70,391
Community Sheild..
Poor us.. Kwani tungeandika kwa kiswahili ingedhuru nini!?
Poor us.. Kwani tungeandika kwa kiswahili ingedhuru nini!?
Hbr ya cku shemela
Community Sheild..
Poor us.. Kwani tungeandika kwa kiswahili ingedhuru nini!?
Salama kabisa mama wawili mzima weweHbr ya cku shemela
Mengi sana hasa swali kubwa ni je, hiyo ngao imeandikwa lini hilo neno "sheild"? Kama ni siku za nyuma basi haikukaguliwa!? Kama ilikaguliwa je hao waliokagua kiingereza kimewapiga chenga kabisa!?Inatuachia maswali mengi sana ila kwa haraka haraka ni kwamba hatuko makini katika utendaji wetu.
Vyeti vikaguliweMengi sana hasa swali kubwa ni je, hiyo ngao imeandikwa lini hilo neno "sheild"? Kama ni siku za nyuma basi haikukaguliwa!? Kama ilikaguliwa je hao waliokagua kiingereza kimewapiga chenga kabisa!?
Tiefef wajiangalie raisi mpya anaingia anaboronga kwenye hata vitu vidogo namna hii anatuacha na maulizo mengi
Cjambo hofu yngu kwakoSalama kabisa mama wawili mzima wewe
Nzuri mkuu, za jioniMkuu,habari yako.
Niaje LeeNzuriii mkuu
Na kwako piaa
AmenUlimi wako watunga madhara kama wembe mkali, Ewe mwenye hila
Umependa mabaya kuliko mema na uongo kuliko kusema kweli
Umependa maneno yote ya kupoteza watu ewe ulimi wenye hila
ZABURI 51:2-4
MBARIKIWE SANA MUWE NA ASUBUHI ILIYO NJEMA NAWAPENDA TU MIMI
Salama,za mihangaiko?Nzuri mkuu, za jioni
Uwe na siku njema pia Shululu.
Pamoja sana shemela wa mimiAsante shemela kwa magazeti
Imekuwa kweli, hongera sana shemelaAll the best mnyama yangu
Nimeshinda salamaNzuri umeamkajee
Nzuri kabisa mkuu, vip upande wakoSalama,za mihangaiko?
My love, I miss you moreCjambo hofu yngu kwako
MkuuVyeti vikaguliwe