Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mnyamaaaaaaaa kwenye ubora wakee woyooooooooooooooo[emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350]![]()
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mnyamaaaaaaaa kwenye ubora wakee woyooooooooooooooo[emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350]![]()
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji3] [emoji3] [emoji3] mpendwa wa Obe kaniachia mikoba
Sasa hivi unamkumbuka binamu eeh?Binamu Obe heshima yako jaman nakumiss tu mimi ujue yaan sana nakuona ujue ebu ukuje mara moja tu apa niwekee aungurumapo simba hucheza naniiii kama hamna video niwekee ata audio yake jaman sawa binamu yangu kipenzi si unajua vile nakupenda
Wooooooozaaaaaa R.i.p Banza stone jaman
Binamu barikiwa sana jamanMuziki: Tunatest Mitambo
Simba ndo keshafanya yake, kuna mwenye swali? Usione alama ya kiulizo ukadhani ni swali, alama nyingine humaanisha kitulizo na huhitaji kujibu.
Na ukimya wangu si kwamba siwakumbuki wadau wote humu, nawahamu kwa sana na huwa ninasoma kila kitu maana sitaki kupoteza upako unaopatikana humu. Well, natest tu mitambo maaana kuna mengi yametokea na mengine wayajua na machache huyajui. Tuko pamoja sana
Me namkumbuka kila siku binamu Babu ebu acha uchochezi aisee
Hvi huyu Obe katekwa na nani lakiniBinamu Obe heshima yako jaman nakumiss tu mimi ujue yaan sana nakuona ujue ebu ukuje mara moja tu apa niwekee aungurumapo simba hucheza naniiii kama hamna video niwekee ata audio yake jaman sawa binamu yangu kipenzi si unajua vile nakupenda
Kuna project eti inamuweka busy akija muulize ni project gani au wakina mama ashura haoHvi huyu Obe katekwa na nani lakini
[emoji3] [emoji3] [emoji3] Obe njoo utuweke wazi ili tuwe tunajua kabisaKuna project eti inamuweka busy akija muulize ni project gani au wakina mama ashura hao
Akikujibu mke mwee nipigie nikuje muulize mama ashura au yule mama bonge mpika chapati au kwa yule mchaji simu[emoji3] [emoji3] [emoji3] Obe njoo utuweke wazi ili tuwe tunajua kabisa
Watu na binamu zaoBinamu barikiwa sana jaman
Baada ya kushinda ha ha ha ha ha ha ha.Me namkumbuka kila siku binamu Babu ebu acha uchochezi aisee
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Wooooooozaaaaaa![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Bibi harusi anapelekwa honeymoon [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]![]()
Sawa mke mweeeAkikujibu mke mwee nipigie nikuje muulize mama ashura au yule mama bonge mpika chapati au kwa yule mchaji simu
[emoji109] [emoji109] [emoji109]Santeeeee shemela wane
Muziki: Tunatest Mitambo
Simba ndo keshafanya yake, kuna mwenye swali? Usione alama ya kiulizo ukadhani ni swali, alama nyingine humaanisha kitulizo na huhitaji kujibu.
Na ukimya wangu si kwamba siwakumbuki wadau wote humu, nawahamu kwa sana na huwa ninasoma kila kitu maana sitaki kupoteza upako unaopatikana humu. Well, natest tu mitambo maaana kuna mengi yametokea na mengine wayajua na machache huyajui. Tuko pamoja sana