Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,642
Juzi tu kamzingua Messi hadi hurumaAnafujo sana aisee
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
.....
Juzi tu kamzingua Messi hadi hurumaAnafujo sana aisee
MorningMorning all kapuku
Morning mzee wa peremendeMorning
Uko poaa ???Morning mzee wa peremende
Niko poa kabisa, vip upande wakoUko poaa ???
Hahahahaha hebu tuachie babu wetu jamani
Haya bwana hongereniMan u..
Man u...
Man u....
Man u....
Man u....
Niko poaaNiko poa kabisa, vip upande wako
Pole sanaaaHaya bwana hongereni
NishapoaPole sanaaa
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Asante mama wawili, nawe pia
Kwema karibu
Heri ya siku ya kuzaliwa kwa Usain Bolt mmoja kati ya wanadamu wenye kasi zaidi kuwahi kutokea Duniani.Leo katika historia
1986 - Usain Bolt anazaliwa. Ni moja kati ya wanariadha mahiri na bora wa wakati wote kutoka nchini Jamaica. Anatimiza miaka 30 leo huku akiwa kwenye michezo ya Olimpiki huko Jijini Rio.
Karibu leo zamu yngu kulinda mjiHeri ya siku ya kuzaliwa kwa Usain Bolt mmoja kati ya wanadamu wenye kasi zaidi kuwahi kutokea Duniani.
hahaha nshakaribiaKaribu leo zamu yngu kulinda mji
Mimi nipo na HusnaMmeenda wapi wapendwa na mie nije[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
Bado upo bize tu mjomba?Heri ya siku ya kuzaliwa kwa Usain Bolt mmoja kati ya wanadamu wenye kasi zaidi kuwahi kutokea Duniani.