Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo katika historia

1938 - Kenny Rogers Anazaliwa.
Ni mwanamuziki mahiri toka nchini Marekani.
Bitoz uweke ngoma zake kama tano hivi.......

666a707d38a031c9a9d42b5e0dbd1724.jpg
b49e82b558049e3917b0d266af09b0b4.jpg

: Through The Years Islands In The Stream
The
Gambler
Lady
....
 
Leo katika historia

1986 - Usain Bolt anazaliwa. Ni moja kati ya wanariadha mahiri na bora wa wakati wote kutoka nchini Jamaica. Anatimiza miaka 30 leo huku akiwa kwenye michezo ya Olimpiki huko Jijini Rio.
Heri ya siku ya kuzaliwa kwa Usain Bolt mmoja kati ya wanadamu wenye kasi zaidi kuwahi kutokea Duniani.
 
Back
Top Bottom